Recent content by MJ Ryoba

  1. M

    Mkakati wa kufuta upinzani kabla 2020!

    Ushahidi sijauona, naona unajisemea tu, kulingana na ndoto yako ya mchana.
  2. M

    CUF upande wa Maalimu wamtosa Lipumba, yasema kitashirikiana na UKAWA katika uchaguzi mdogo

    Hawa cuf seif sijui kama wanajua wanacho kifanya, Cuf Lipumba ndio wanatambulika na msajiri ndio watakao toa wagombea watakao tambuliwa na tume ya uchaguzi.
  3. M

    Zitto: Mapato ya Serikali yameporomoka mpaka chini ya Shilingi bilioni 600

    Jana zitto alilalamika hapati taarifa ya mapato na akatishia kuishitaki bot leo anasema yapo chini ya bil. 6!!! Pengine ni njia ya kulazimisha apewe takwimu sahihi
  4. M

    Kwanini kauli za baadhi ya Wabunge wa CHADEMA kwamba maisha yao yako hatarini zinaongezeka kila kukicha?

    Sera now ni udikteta na ili kushawishi watu lazima ionekane wanataka kuuwawa na rais, Rais anaeuwa watu wake kwa kujosolewa ni dikteta. Kinachofanyika hapa ni kuipaka rangi hoja ya udikteta
  5. M

    Kesi ya Manji kutuhumiwa kutumia dawa za kulevya ni kwamba ameshaishinda Serikali kabla ya hukumu

    Hivi serikali ikimfikisha mtu mahakamani lengo ni kumfunga? Mimi nadhani ni kutafuta tafsiri ya sheria kuwa mtu katenda kosa tajwa ama laa? Sasa habari za aibu zinatoka wapi hapo? Means manji angefungwa bashite angepata sifa? Zipi sasa? Tunajadiri kama vilema wa akili. Manji akishinda ni...
  6. M

    Tetesi: Arusha: Aliyehama Kutoka CHADEMA na Kwenda CCM Afukuzwa kwenye Nyumba na Kanisani Waumini Wamkimbia

    Kama anahayo matatizo si aliyatengeneza akiwa chadema? Sasa amekuwa mtu safi atalipa hayo madeni na mikopo na ataacha kuchukua pesa za watu.
  7. M

    Ndugai ni dhaifu au mhimili wa bunge ni dhaifu?

    Rais mwenyekiti wa chama tawala, spika ni mbunge wa chama tawala chini ya mwenyekiti wake ambae ni rais wa nchi . Katiba hairuhusu mgombea binafsi inamaana spika/mbunge wa chama cha siasa akifutwa uanachama anapoteza ubunge wake, na automatically anakuwa amepoteza uspika wake, Hivi hapa...
  8. M

    Watu wasiojulikana wamvamia na kumkata mapanga dereva wa Mbunge wa Tarime, John Heche

    Tatizo tunasahau kuwa nje ya siasa tuna maisha ambayo yanaweza kusababisha kupigwa mapanga, Si kila kitu ni siasa nje ya siasa kuna maisha.
  9. M

    Dereva wa Lissu: Waliomshambulia Tundu Lissu, walitumia gari la Nissan Patrol T 932 AKN

    Sio T460 CQV tena? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Hii haraka ya kumjua aliyemshambulia Lissu ni ya nini?

    Tundu Lissu Mungu kasaidia kapona, kwanini tusimsubiri aje aseme ukweli? Ramli za nini? Mbona tunabapiabapia mara bashite? Mara sijui naninani? Mara jpm hii haraka inatoka wapi? Mara tiss tunawashwa midomo? Kwamba hatuamini kuwa Lissu atamsema aliemuona kwenye tukio au? Kwamba lissu...
  11. M

    Jerry Muro: Uongo wa dereva wa Lissu ni kusema umefuatiliwa na gari muda wote hujachukua hata Namba ya gari?

    Cdm hamjajibu hoja za muro mnamshambulia tu, mara alisaidiwa mara anatumiwa, mara anataka ukuu wa wilaya lkn sijaona aliejibu hoja. Hivi nini maana ya neno tubishane kwa hoja? Anaekushambulia kwa maneno amekoswa siraha, muda na werevu wa kutumia bunduki laiti angekuwa nayo naamini...
  12. M

    Almasi ya Bilioni 32 inayodaiwa kukamatwa Uwanja wa ndege Dar ni Uongo wa karne!

    Hilo sasa ni kosa la alieripoti sio mkamataji? hivi huwa kwa mfano bbc waliporipoti kuwa everton wanacheza na timu ya kenya kwenye kijiji cha wavuvi jijini nairobi kosa lilikuwa la nani everton au media? Kama ni karati mwananchi aneripoti kg hilo sasa ni kosa la mwananchi sio aliekamata...
  13. M

    Rais wa wanyonge, wanyonge wapi?

    Kama wewe ni maskini unategemea uitweje ili usionewe? Uitwe tajiri? Hata Tanzania inaitwa maskini na nchi tajiri akiwemo huyo magufuri, Sijui kama maskini ni tusi Sent using Jamii Forums mobile app
  14. M

    Hivi ingekuwaje kama kauli iliyotolewa na Raila ingekuwa imetolewa na mpinzani wa Tanzania?

    Hivi ni kauli zipi kati ya hizo ambazo hazijatolewa hapa tanzania? Mara hii tumesahau mpaka leo Lowasa hajakubali matokeo ya 2015? Seif ameshakubali si bado anasubiri kuapishwa? Mara hii tumesahau tulivyohamasishwa tushone suti? Zile kesi zilizoenda CCJ tumezisahau? Walivyotoka bungeni...
  15. M

    Freeman Mbowe: Ni Upumbavu Kutumia zaidi ya Milioni Mia saba kufanya Uchaguzi wa Madiwani walionunuliwa na CCM

    Hiyo ndio demokrasia hata kama wapo watatu tu lkn wana uhuru na haki ya kufanya maamuzi yao na heshimiwe, hizo mil 700 ndio gharama ya demokrasia mbona inamuuma Mbowe? Hivi anajua uchaguzi mkuu unakula bilioni ngapi? Je yupo tayari 2020 tusifanye uchaguzi ili hayo mabilioni yajenge mashule...
Back
Top Bottom