Habari wana Jamiiforums
Naomba nitoe wazo la kujenga nchi yetu kupitia vijana bora na kakamavu wa taifa letu kwa maendeleo thabiti.
Katika zama za hivi kqribuni ni ukweli usiopingika ajira za kuajieiwa zimekuwa ngumu iwe serikalini ama sekta binafsi. Kutokana na hali halis iliyopo idadi ya...
Ndugu zangu,
Hili wimbi la watia nia kuwa zaidi ya elfu 8, sio jambo la kawaida, inabidi tuliangalie kwa jicho la tatu. Unadhani sababu hasa ni nini????
1. Ukosefu wa ajira?!
Hii inaweza kuchangia kwa vile vijana wengi hawana ajira za kudumu. Inaweza kuangaliwa kwa baadhi ya wagombea ingawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.