Wewe itakuwa mwalimu waalimu wanapoajiriwa wengu hususan wa wa arts huishia kuigeuza ofisi kuwa kijiwe cha kupigia story na mipasho angalau kwenye uhaba wa mathematics na sayansi si vizuri kuvunja mikataba ya ujenzi wa SGR kwa sababu ni maendeleo endelevu ya vitu
Nakumbuka siku Rais anawaapisha mawaziri na makatibu wakuu alitoa maagizo mengi.Baadhi ya maagizo.
1. Waalimu 6000 waajiliwe mara moja ili kufanya mbadala walioacha kazi na kustahafu. Lakini mpaka sasa hakuna kinachofanyika waziri anaruka ruka tuu hajui lipi ashike na lipi aache.Naibu wake...
#UpdatesKishikaji
Kutoka kwenye Hotuba ya Freeman Mbowe
1. KUHUSU MIMI
👉Kuanzia tarehe 4/12/2020 nilikuwa nje ya nchi Kwa miezi minne.
👉Hii ilileta taharuki,na wengine walinizushia Kifo lakini sikuwa naumwa. Nilikuwa nje kibiashara na mambo ya Chama.
👉Nilienda nchi za nje kutafuta uwezo wa...
Waliotajwa hapo juu ni hatari mno kwa utendaji wa TAMISEMI kwa waziri mpya nikikumbuka jinsi walivyodanganya katika ajira za ualimu, na kuingiza majina hewa zaidi ya 1000.
Mhe Rais usiwaaache hao katika Wizara kwa ufanisi wa waziri mpya Ummy Mwalimu.
Kwanza walimdharau Waziri wao...
Mhe: Rais umejinadi kuwa ni serikali ni ya Watanzania sasa kwanini Ndugu lile anatufanyia hivi?! wengine biashara zetu ni za mitandaoni, Hivi ni kielele gani kilichokupeleka kwwnye mitanado ya kupandisha vifurushi namna hii?! Daaaahh kama serikali haitokufukuza nitaisi walikutuma ila punguza...
Mhe Raisi kama itakupendeza kurugenzi ya mawasiliano ikulu mpe Zuhura Yunus wa Bbc. Kwani yeye ni mbombezi, pia wakumbuke wale vijana 5000 walioahidiwa ajira za ualimu mwisho wa siku wakatelekezwa
Nimekujua wewe ni Erick bernad mfanya kazi wizara ya afya wizara hongera kwa kumsagia kunguni boss wako inaonekana haukulizika alivyopelekwa wizara ya Muungano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.