Brother nimeona, utafikiri hakuna Baraza la Madiwani la Jiji. Hivi unarihusu vipi watu kujenga mlimani, Inachekesha sana. Arusha wamejitahidi Nafikiri pia kwasababu ya mlima Meru ni kama kivutio Cha utalii kwahiyo miti ikikatwa huku chini kule juu hata kale kabarafu kaliopo kanaweza kutoweka...
Ujenzi na kilimo holela vinagharimu nchi nyingi za kiafrika.
Mfano, Kwa Mbeya, Isanga,Nzovwe, Mabatini, Airport, Uyole ilitakiwa zivunjwe zote na kuweka nyumba chache za ghorofa huku eneo lililobaki lipandwe miti.
Kwa Arusha, Kwa mrombo, Intel ni mahali pa ajabu,kwanza sijui ni nani aliruhusu...
Wewe Akili zako bado zipo kwenye Pre - Cambrian period. Who told you kura za hasira kwa wapinzani zinaweza kuamua ushindi wao? Wake up ndugu yangu, tume haipo huru,do not expect much from it.
Wanaume wanapitia nyakati ngumu sana kimahusiano, si vizuri sana kuwa judgemental kwenye mambo ya mahusiano ya ndoa kwani ni jambo ambalo ni so complicated. Hebu Tum judge based on what he contributed to our country.
Kwa kifupi,wewe hujui kitu. Hebu nitajie Andiko hata moja la Prof Kabudi, kama kweli unaona Hana impact. Hivi unajua kutoka Dr Hadi Prof unatakiwa uwe umefanyaje?
Kuhusu kugundua kitu si lazima uwe na PhD, hata level ya Masters inaweza kukufanya kuwa Scholar ..huwezi kugundua kitu pasipo...
Unafahamu Prof Kabudi ana Publications ngapi? citations ngapi? Supervisions za Masters na PhD ngapi? Consultations ndani na nje ya nchi ngapi? Fanya utafiti ndipo uje kuandika kitu, vinginevyo usilete usela gogo kwenye ulimwengu wa ki intellectual.
Sijui watanzania watakuwa na Akili timamu lini...of all population ya WaTanzania milioni 65+ umeona familia ya mtu mmoja ni bora kuliko nyingine? Kwani hakuna watu wengine wenye uwezo wa kuongoza hadi familia za waliokuwa viongozi zijirudie rudie? Wewe uliyeleta Uzi huu ni lini utaongoza?
Watu...
Shida siyo kuwa na silaha nyuklia,tatizo linaanzia pale unapotangaza publicly kwamba ukishazipata silaha za nyuklia,utaifuta nchi fulani kwenye ramani ya Dunia.Hiyo ni threat ambayo haikubaliki kwenye ulimwengu wa kistaarabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.