Recent content by Missouri

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ezekiel Kamwaga: Cuba mtungi wa gesi unaanzia laki moja na nusu mpaka laki tatu

    Hizo habari chanzo chake ni Cha kutoka Cuba au Marekani?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Uwekwe Mpango wa Kupanda Misitu ya Asili kwa Helicopter jirani na majiji makubwa Tanzania

    Brother nimeona, utafikiri hakuna Baraza la Madiwani la Jiji. Hivi unarihusu vipi watu kujenga mlimani, Inachekesha sana. Arusha wamejitahidi Nafikiri pia kwasababu ya mlima Meru ni kama kivutio Cha utalii kwahiyo miti ikikatwa huku chini kule juu hata kale kabarafu kaliopo kanaweza kutoweka...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Uwekwe Mpango wa Kupanda Misitu ya Asili kwa Helicopter jirani na majiji makubwa Tanzania

    Ujenzi na kilimo holela vinagharimu nchi nyingi za kiafrika. Mfano, Kwa Mbeya, Isanga,Nzovwe, Mabatini, Airport, Uyole ilitakiwa zivunjwe zote na kuweka nyumba chache za ghorofa huku eneo lililobaki lipandwe miti. Kwa Arusha, Kwa mrombo, Intel ni mahali pa ajabu,kwanza sijui ni nani aliruhusu...
  4. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hoja yenye mashiko: Ikiwa mahakama itamrejesha Mpina apewe kura za hasira dhidi ya wahuni

    Wewe Akili zako bado zipo kwenye Pre - Cambrian period. Who told you kura za hasira kwa wapinzani zinaweza kuamua ushindi wao? Wake up ndugu yangu, tume haipo huru,do not expect much from it.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Rais Samia namsikitikia sana

    Umeandika UHARO
  6. M

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Msiba wa Spika Mstaafu Kongwa: Haijulikani ana wake na watoto wangapi?

    Wanaume wanapitia nyakati ngumu sana kimahusiano, si vizuri sana kuwa judgemental kwenye mambo ya mahusiano ya ndoa kwani ni jambo ambalo ni so complicated. Hebu Tum judge based on what he contributed to our country.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ushindi wa Jesica Magufuli unatuma ujumbe gani Chadema?

    Hii post inadhihirisha ugumu wa kumkomboa Mtanganyika. Ama kweli Kazi iliyopo mbele yetu ni kubwa na ngumu zaidi.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hawa ndo watanzania Elimu yao haijaleta Impact yoyote katika nchi wala katika taasisi walizoziongoza

    Kwa kifupi,wewe hujui kitu. Hebu nitajie Andiko hata moja la Prof Kabudi, kama kweli unaona Hana impact. Hivi unajua kutoka Dr Hadi Prof unatakiwa uwe umefanyaje? Kuhusu kugundua kitu si lazima uwe na PhD, hata level ya Masters inaweza kukufanya kuwa Scholar ..huwezi kugundua kitu pasipo...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hawa ndo watanzania Elimu yao haijaleta Impact yoyote katika nchi wala katika taasisi walizoziongoza

    Unafahamu Prof Kabudi ana Publications ngapi? citations ngapi? Supervisions za Masters na PhD ngapi? Consultations ndani na nje ya nchi ngapi? Fanya utafiti ndipo uje kuandika kitu, vinginevyo usilete usela gogo kwenye ulimwengu wa ki intellectual.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole huwezi kuuhadaa umma wa watanzania hawa kwani siyo wajinga vile unavyofikiri

    Mbona hujajibu hoja hata moja? Acha udaku
  11. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jimmy Mafufu: Polepole anatamani kuishi maisha ya awamu ya 5 kwenye awamu ya 6

    Huyu hana uwezo wa kujibu chochote, kuntu aka na fimo.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Naishauri Iran Kama vita vikianza tena waanze kupiga base za Marekani zilizopo karibu naye

    Hiyo ni suicide mission kwa Iran, hivi kwanini watu huwa hawaichukulii US kwa uzito wake?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ningeliumia sana KUKOSA damu ya jpm Bungeni, maana uko ziliko ziko mafichoni mno ngumu kuzisikia.

    Sijui watanzania watakuwa na Akili timamu lini...of all population ya WaTanzania milioni 65+ umeona familia ya mtu mmoja ni bora kuliko nyingine? Kwani hakuna watu wengine wenye uwezo wa kuongoza hadi familia za waliokuwa viongozi zijirudie rudie? Wewe uliyeleta Uzi huu ni lini utaongoza? Watu...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kila nchi ina haki ya kuwa na silaha za aina zote

    Shida siyo kuwa na silaha nyuklia,tatizo linaanzia pale unapotangaza publicly kwamba ukishazipata silaha za nyuklia,utaifuta nchi fulani kwenye ramani ya Dunia.Hiyo ni threat ambayo haikubaliki kwenye ulimwengu wa kistaarabu.
Back
Top Bottom