Wadau kunavideo inasambaa huko Instagram ikionesha wanafunzi secondari wamekamatwa wakinywa viroba na kuvuta bang kibaya zaidi ni watoto wakike.
Hii inapaswa kuangaliwa kwa makini maana ile tulio ionambeya inaweza kuwa ndio tabia za wanafunzi wengi zinaanzia hapa ndio maana hawana nidhamu...
Wadau wakati tunajadili juu yahuyu jamaa aliyetoboa mtu macho
Naomba nikumbushe tu kwa viongozi wamkoa wa dsm kuhusu vijana au vibaka wapale kinondoni Manyanya .wanakaba sana naisha kuwa kama kawaida ila likitokea kama hili la buguruni utasikia matamko meng tu
Ushauli wangu tuwe tuna sikiliza...
Maish ni vyovyote lighte wazee wangu wangekuwa nauwezo mm nisingetoka nyumbani niende wapi
Unakuta mtu baba yake ananyumba tano lakini yeye kapanga huo upuuzi mm nisingefanya ila kwakuwa wazazi wangu hawakuwa na uwezo nilianza kujitehemea nikiwa na miaka 15 mpaka leo bado hata nyumba yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.