Recent content by Miss Eagle

  1. Miss Eagle

    JamiiForums Tanzania Toa ushahidi ni wapi umewahi ona mwanamke mwenye makalio makubwa akawa na akili popote pale Duniani?

    Hakika maana wengi imekuwa sehemu ya kupunguzia stress
  2. Miss Eagle

    JamiiForums Tanzania Toa ushahidi ni wapi umewahi ona mwanamke mwenye makalio makubwa akawa na akili popote pale Duniani?

    Sijateseka kamwe haiwezi kuwa ila ifike mahali muongee ya kujenga kuhusu hao hao wanawake
  3. Miss Eagle

    JamiiForums Tanzania Toa ushahidi ni wapi umewahi ona mwanamke mwenye makalio makubwa akawa na akili popote pale Duniani?

    Sijakataa kuwazungumzia, nimetoa maoni yangu kuwa sioni umuhimu wa hayo, kuna mambo mnayakuza sana ni kinyume na uhalisia bhana
  4. Miss Eagle

    JamiiForums Tanzania Toa ushahidi ni wapi umewahi ona mwanamke mwenye makalio makubwa akawa na akili popote pale Duniani?

    Sawa tu lakini kuna vitu sioni umuhimu wake kabisa hasa kwa mwanaume maana jamii yetu wengi tunaamini mwanaume ni mtu special, kiongozi nk. Sasa kiongozi wa familia yupo busy kufananisha uwezo wa akili na matako kweliii🙌
  5. Miss Eagle

    JamiiForums Tanzania Toa ushahidi ni wapi umewahi ona mwanamke mwenye makalio makubwa akawa na akili popote pale Duniani?

    Sasa mwanaume makini kweli aanze mjadala wa matako kweliiii yani matako yakiwa hivi akili zipo yakiwa hivi akili hamna🤔
  6. Miss Eagle

    JamiiForums Tanzania Toa ushahidi ni wapi umewahi ona mwanamke mwenye makalio makubwa akawa na akili popote pale Duniani?

    Inashangaza sana, tunaambiwa wanawake ni wengi kuliko wanaume lakini bado kila siku kuwasimulia wanawake mpaka thamani yao inashuka sasa Sisi wanawake ndio ingetakiwa tuwaongelee kila siku maana ni kitu adimu ila loooh! Aibuuu aibuuu thamani ya mwanaume inashuka kila uchwao
  7. Miss Eagle

    JamiiForums Tanzania Toa ushahidi ni wapi umewahi ona mwanamke mwenye makalio makubwa akawa na akili popote pale Duniani?

    Kuna namna inafikirisha kila siku wanawake vile wanawake hivi, ifike wakati baadhi ya wanaume mlinde uanaume wenu kamili Nyie ni bidhaa adimu lakini chaajabu imekuwa tofauti
  8. Miss Eagle

    JamiiForums Tanzania Haya mabongoleva Mungu atusamehe tu Tanzania

    Biashara isiyokuwa na wateja lazima ife
  9. Miss Eagle

    JamiiForums Tanzania Mshahara unaweza kujenga utajiri!

    Utajiri ni swala pana
Back
Top Bottom