kama una C au D ya hesabu O'level kuna kozi moja inaitwa project planning,management and community devolopment (PPM&CD) ipo UDOM ni nzuri sana ila ukiwa na D kuchaguliwa ni bahati nasibu mana kuna hesabu za hapa na pale km uko vibaya kwenye hayo mambo itakusumbua. Mass communication pia...
kama ulidownload matokeo yako yaprint halafu weka alama kwenye jina lako kisha nenda mahakamani ukaape kwamba ndio matokeo yako sahihi watayapiga muhuri utayapeleka unapotaka. nilifanya ivyo kipindi icho nataka mkopo loan board na yalikubalika sasa sijui huko, jaribu ivyo
Wahitimu wa ngazi ya cheti, diploma na degree kwa fani za biashara, mipango kazi na maendeleo ya jamii mnaopatikana Tunduma na maeneo ya jirani naomba tuwasiliane nina wazo la kuwa na kikundi kitakachohusika na mambo ya ujasiriamali na maendeleo ya jamii yetu.
Hii ni katika kujikwamua na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.