Ingekuwa pow sana pesa ya kishikwambi kuongezea kwenye mshahara ingekuwa best sana
Ingekuwa pow sana pesa ya kishikwambi kuongezea kwenye mshahara ingekuwa best sana
Ni kweli kabisa Pana wengine wanajibu kawaida ipo siku watakuta watoto zao wamevaa ivyo Sasa sijui itakuaje maana ni machukizo mbele za Mungu na sio utamaduni wetu Mungu atutete wazazi na walezi kuhakikisha kuwalea watoto katika misingi mizuri na kuwa mfano Kwa wengine.
Habari ya mdaa huu viongozi mnaendeleaje, mrejesho.
Ashukuriwe Mungu wa mbinguni pia mbarikiwe Wana jf wote Kwa mawazo ushauli n.k nilikuwa kwenye wakati mgumu sana lakini hatimaye solutions imepatikana Kwa kuanza na service ambazo zimebaki na mda si mrefu kuanza na kazi katika eneo Hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.