Recent content by minzemanonu

  1. minzemanonu

    Rais Samia amtumbua Kamishna Dawa za Kulevya, Gerald Kusaya

    Karibu Chato Ndugu Samike, ili tufanye kumbukizi ya mzee baba hapo kesho. Naona wamefanya hivyo ili uwahi kumbukizi kesho.
  2. minzemanonu

    Nimefukuzwa na mwenyeji wangu naomba msaada wa hifadhi Dodoma

    Kazi za kuisha mwaka wa fedha, ukisikia mfumo umefungwa utalia mpaka basi.
  3. minzemanonu

    Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

    Wapare ndio zao kujificha milimani, Uende Chome, Vuje, Vunta, Tae, Bwambo ni milimani haswa wakati maeneo mazuri yapo.
  4. minzemanonu

    Ulitumia muda gani kupata mtaji wa milioni 3 kwa kutumia mshahara wako?

    Kuanzia tarehe 12/04/2021 mpaka tarehe 12/10/2021 tayari nilikua nimesave 5,000,000..
  5. minzemanonu

    Mauzauza ndani ya msitu wa Shengena uliopo Wilayani Same

    Mimi sio mpare lakini maeneo hayo nayajua kinoma, Ngujini, Mhero, Kilindini, Mmeni, Ngw'anga, na Marieni bila kusahau Ukweni kwangu Mtwana..
  6. minzemanonu

    Ushauri: Kama unataka kulamba asali bila wasiwasi soma degree ya manunuzi

    Mwendo wa LPO, Form No" 2 na quotation kwa kwenda mbele.
  7. minzemanonu

    Huenda Joanfaith John Kataraia is best DED of the history, anajituma sana huyu binti

    Naona huyu ndio kachukua zabuni ya kuvisha ng'ombe hereni, au anakula dili na S & J Animal tech. Kati ya kazi inayopasua kichwa wakurugenzi na hiki kitu nacho, maana wanalazimika kutumia mapato ya ndani bila kujua faida itakuaje kwenye swala hili.
  8. minzemanonu

    Kwanini Kalemani na Chamuriho? Je, ni kuvunja mtandao?

    Tutawanyosha 2025...
  9. minzemanonu

    UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri, Manispaa, Miji na Wilaya 184

    Asante mama kwa kutuachia DED wetu, halmashauri ya wilaya ya SAME.
  10. minzemanonu

    Uteuzi wa Wakurugenzi unafanyika lini? Mambo mengi yamesimama Wilayani

    Naona mnamuandama kweli mkurugenzi wetu wa same. Tatizo nini jamani.
  11. minzemanonu

    Tanesco, huduma ya Luku imekwama tena leo

    Wamerudisha mfumo vizuri, mimi nimenunua ikakubali sasa. Japo mwanzo ili goma kabisa
  12. minzemanonu

    UTEUZI: Rais Samia ateua Makatibu Tawala, ahamisha wengine. William Erio aondolewa NSSF

    Namuona ndugu yangu Ngusa Samike ndani ya nyumba.
  13. minzemanonu

    Mishahara ilipwe kwa mkupuo wa miezi mitatu mitatu

    Niambie matumizi ya pesa kwa mfano huu.. Una ajira ya mkataba kwa miezi sita, na kila mwezi unalipwa Tsh 1,200,000/= Muda huo una familia ya mke na mtoto, hauna biashara wala kiwanja chochote mjini. Je utatumiaje hii ajira ya mkataba ili baadae ujiajiri?
Back
Top Bottom