Naona huyu ndio kachukua zabuni ya kuvisha ng'ombe hereni, au anakula dili na S & J Animal tech.
Kati ya kazi inayopasua kichwa wakurugenzi na hiki kitu nacho, maana wanalazimika kutumia mapato ya ndani bila kujua faida itakuaje kwenye swala hili.
Niambie matumizi ya pesa kwa mfano huu..
Una ajira ya mkataba kwa miezi sita, na kila mwezi unalipwa Tsh 1,200,000/=
Muda huo una familia ya mke na mtoto, hauna biashara wala kiwanja chochote mjini.
Je utatumiaje hii ajira ya mkataba ili baadae ujiajiri?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.