Recent content by minzemanonu

  1. minzemanonu

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    Mimi ninatumia PC kumuombea, sasa jana nimejaribu kwa kumsajili kwa kutumia email nyingine, kumbe kwenye simu yake anatumia email nyingine, ndio maana nawaza huo ujumbe wa Ku activate akaunti yake ya ajira portal utatumwa wapi, au nianze upya tu mchakato wa kumsajilia akaunti mpya?
  2. minzemanonu

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    Kuna kitu hapa kingine, akaunti niliyomfungulia ajira portal ina utofauti na anayotumia kwenye simu yake, yaani email mbili tofauti, je hapo kwenye huo ujumbe wa kufanya akaunti yake ya ajira portal iwe active utatumwa wapi, maana ni email mbili tofauti.
  3. minzemanonu

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    Kuna mtu nina jaribu kumuombea nafasi za afya, nimesha sajili akaunti, tatizo nikianza tu ku apply hiyo nafasi inaandika Account Inactive, je nifanye nini hapo?
  4. minzemanonu

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amtumbua Kamishna Dawa za Kulevya, Gerald Kusaya

    Karibu Chato Ndugu Samike, ili tufanye kumbukizi ya mzee baba hapo kesho. Naona wamefanya hivyo ili uwahi kumbukizi kesho.
  5. minzemanonu

    JamiiForums Tanzania Emmanuel Tutuba ateuliwa na Rais Samia kuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT)

    Yap, ndio DED wetu a.k.a boss wetu.
  6. minzemanonu

    JamiiForums Tanzania Nimefukuzwa na mwenyeji wangu naomba msaada wa hifadhi Dodoma

    Kazi za kuisha mwaka wa fedha, ukisikia mfumo umefungwa utalia mpaka basi.
  7. minzemanonu

    JamiiForums Tanzania Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

    Wapare ndio zao kujificha milimani, Uende Chome, Vuje, Vunta, Tae, Bwambo ni milimani haswa wakati maeneo mazuri yapo.
  8. minzemanonu

    JamiiForums Tanzania Ulitumia muda gani kupata mtaji wa milioni 3 kwa kutumia mshahara wako?

    Kuanzia tarehe 12/04/2021 mpaka tarehe 12/10/2021 tayari nilikua nimesave 5,000,000..
  9. minzemanonu

    JamiiForums Tanzania Mauzauza ndani ya msitu wa Shengena uliopo Wilayani Same

    Mimi sio mpare lakini maeneo hayo nayajua kinoma, Ngujini, Mhero, Kilindini, Mmeni, Ngw'anga, na Marieni bila kusahau Ukweni kwangu Mtwana..
  10. minzemanonu

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Kama unataka kulamba asali bila wasiwasi soma degree ya manunuzi

    Mwendo wa LPO, Form No" 2 na quotation kwa kwenda mbele.
  11. minzemanonu

    JamiiForums Tanzania Huenda Joanfaith John Kataraia is best DED of the history, anajituma sana huyu binti

    Naona huyu ndio kachukua zabuni ya kuvisha ng'ombe hereni, au anakula dili na S & J Animal tech. Kati ya kazi inayopasua kichwa wakurugenzi na hiki kitu nacho, maana wanalazimika kutumia mapato ya ndani bila kujua faida itakuaje kwenye swala hili.
  12. minzemanonu

    JamiiForums Tanzania Kwanini Kalemani na Chamuriho? Je, ni kuvunja mtandao?

    Tutawanyosha 2025...
  13. minzemanonu

    JamiiForums Tanzania UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri, Manispaa, Miji na Wilaya 184

    Asante mama kwa kutuachia DED wetu, halmashauri ya wilaya ya SAME.
  14. minzemanonu

    JamiiForums Tanzania Uteuzi wa Wakurugenzi unafanyika lini? Mambo mengi yamesimama Wilayani

    Naona mnamuandama kweli mkurugenzi wetu wa same. Tatizo nini jamani.
Back
Top Bottom