Recent content by minyenye

  1. M

    Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

    Itakavyokuwa lakini msisahau kuwa CCM tayari wana majimbo matatu--Bumbuli, Peramiho na Ludewa parliamentary candidate wamestand unopposed na kuna kata pia sikumbuki idadi wagombea wamesimama bila kupingwa. hili tusilisahau wakati tunajadili haya mambo ya politiki
  2. M

    Polisi wazuia ziara ya Edward Lowassa, Kariakoo. Wapiga marufuku mgombea kupanda daladala

    Tukiacha pembeni ushabiki na mahaba kwa chama, anachofanya Lowassa sio sahihi, yeye ni mtu maarufu na kipindi cha kampeni mgombea lazima ijulikane anaenda wap na muda gani sio kuvamia tu atii anasikiliza shida za wananchi bila utaratibu maalum. hapa police wako sahihi, na mbaya zaid huko...
  3. M

    Yaliyojiri Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA - Mwanza

    Eti ni kweli watu wanasafirishwa kutoka mikoa ya jirani kwenda mwanza kwenye mafuriko ya waziri mstaafu mgombea urais Ukawa mh. Lowassa? na ni kweli pia kuwa vijana hapo jijini mwanza hasa waendesha bodaboda saiz wamelewa viroba shakarii na nyama zinalika na poombe hakuna mfano? walioko huko...
  4. M

    Dr. Slaa hatimaye aibuka

    Mungu mkubwa walahi!! tunsubiri Padre anene yoote ndo tuanze kupiga porojo. otherwise siasa za bongo tamu sana aiseeee
Back
Top Bottom