Recent content by MINT LADY

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina hisia na mume wangu nisaidieni

    yaan hata niende sehem masaa tu nikirud ananinua jaman ! anataka anione nipo tu nyumban na kweli ndo nilivyo napenda kushinda ndan but sina aman ya moyo kbs! asante nitaanza kufanya hvyo kutoka kila mara
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina hisia na mume wangu nisaidieni

    duh naitumiaje mkuu !vicks si inawasha au unanitania !mie am serious on ths
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina hisia na mume wangu nisaidieni

    asanteni waungwana kwa mitazamo yenu chanya !mbarikiwe !kwaherini!
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina hisia na mume wangu nisaidieni

    haijawah kutokea kabisa !
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina hisia na mume wangu nisaidieni

    smilling lol !thnx
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina hisia na mume wangu nisaidieni

    asante huwa nafanya smtym hvyo lakin ananuna na masimango juu !had nashindwa kuelewa shida nn
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina hisia na mume wangu nisaidieni

    nisamehe san mkuu ! jinsi nilivyo wewe huwez jua kbs !asante sana !
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina hisia na mume wangu nisaidieni

    hata kanisan kama yeye hataki kwenda haniruhusu niende mm hata niombe niende na watt hatak utakuwa ugomv mkubwa ! nitaanza kutoka maana sijalelewa pia malezi hayo(gate kali)
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina hisia na mume wangu nisaidieni

    watoto wawili
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina hisia na mume wangu nisaidieni

    sijatftiwa mkuu !shukran
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina hisia na mume wangu nisaidieni

    sijawah madame kutokana na nature za kazi zangu then nahis sipend kuchepuka! ni msafi na ni mwanamke wa kisasa !sina nguo lonya lonya !napenda usafi wa nyumba kuliko hata kucha zangu!sijawah sema popote nahis aibu sana ! tulikutana tukiwa tunasoma !sikutaftiwa !sikumkuta na kitu zaid ya kitanda...
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina hisia na mume wangu nisaidieni

    najipeleleza kila iitwapo leo !mayb ananificha ! sina hisia ht huko nje (ila sn hakika)nashukuru kwa mawazo yako! nahis nimekuwa mpweke sina rafik nayemhitaj yeye kuliko rafik yyt yule lakin mwenzangu hakai na mm !sio mchaf wala sn mdomo ! asante
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina hisia na mume wangu nisaidieni

    najua siwezi sifeel kitu kbs
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina hisia na mume wangu nisaidieni

    umeponaje sasa! yaan hii hali ya kusex naye na huku mm sipokihisia ndo inaniuma !kuna muda huwa nalia akiwa anasex na mm !hajui kitu !nimechoka !nikiingia room nawaza tu leo sijui atataka!imefika hatua akinigusa napiga ukunga najishangaa inakuwaje !had anashangaa nashindwa sema !asante sana mdada!
  15. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina hisia na mume wangu nisaidieni

    mhh !
Back
Top Bottom