Recent content by Minjingu Jingu

  1. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Mwanamuziki TID akamatwa kwa kushindwa kulipa bili Bar

    Hluyu kubwa njinga ana ushamba sana na ujuaji wa kishamba
  2. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Etwege wa leo sio Etwege wa jana. Kweli Ukombozi umefika kwa watu wake Mungu

    Nimemusoma uku machozi ya furaha yakinibubujika. Ukombozi umekaribia kabisa upo mlangoni maana waliokua vipofu sasa wanaona na kuutanbua ukweli wote bila kubakiza kitu WATU WA MUNGU WTARUDI KWAKE NA WASHETANI WATABAKI KUWA WAKE SHETANI SIKU ZOTE.Huyu alikuwa mtu wa Mungu amerudi kwa mola ake...
  3. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Wavulana wa Dar Es Salaam wanasikitisha sana. Hasa ambao wamekulia Kinondoni, Ilala na Magomeni

    Kabisa. Mwanaume una miaka 35 plus huwezi kaa kwa wazazi au ndugu utakuwa na tatizo la akili
  4. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Wavulana wa Dar Es Salaam wanasikitisha sana. Hasa ambao wamekulia Kinondoni, Ilala na Magomeni

    Sawa kaka basi walamba midomo ni wengi sana mpaka ionakekana wote wapo ivo.
  5. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Wavulana wa Dar Es Salaam wanasikitisha sana. Hasa ambao wamekulia Kinondoni, Ilala na Magomeni

    Aibu sana mkuu huwa awana tofauti na mademu tabia zao
  6. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Leo kumekuwa na Nderemo, Vifijo, Hai hai na Sherehe JF. Hongereni Mods. Huyu jamaa asirudishwe tena

    Sisi waanaume tunawapa hiyo kazi jinsia yenu pambana sana utafanikiwa
  7. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Leo kumekuwa na Nderemo, Vifijo, Hai hai na Sherehe JF. Hongereni Mods. Huyu jamaa asirudishwe tena

    Sasaa nipotezeee muda kubishanaa na mapunga kwa kuya wymechukia ? Apana wanaume hatupo ivo
  8. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Wavulana wa Dar Es Salaam wanasikitisha sana. Hasa ambao wamekulia Kinondoni, Ilala na Magomeni

    Usije ukawa na mtoto ukakaa naye maeneo haya.... Huwa hawakui, hawawi wanaume. Mi hata nikipata rafiki akiwa amekulia hayo maeneo huwa namwona kuwa bado hajawa mwanaume kamili Sisi wanaume wa mikoani tunawadhatau sana watu wa Daa ambao wanajiita wanaume mfano huyu Tid nasikia bado anafugwa...
  9. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Leo kumekuwa na Nderemo, Vifijo, Hai hai na Sherehe JF. Hongereni Mods. Huyu jamaa asirudishwe tena

    Ndo lile kundi nazani la maadui wa chz maarifq ( machoko)
  10. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Leo kumekuwa na Nderemo, Vifijo, Hai hai na Sherehe JF. Hongereni Mods. Huyu jamaa asirudishwe tena

    Nyie mpo wengi sana ndo mmesababisha chz afungiwe? Mna umkja sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  11. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Leo kumekuwa na Nderemo, Vifijo, Hai hai na Sherehe JF. Hongereni Mods. Huyu jamaa asirudishwe tena

    Nmemaliza. Sitoweza tukanana nawe nashukuru kwa matusi yako sheikh yangu
  12. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Leo kumekuwa na Nderemo, Vifijo, Hai hai na Sherehe JF. Hongereni Mods. Huyu jamaa asirudishwe tena

    The Worst sasa apa ndo utanielewaa wapo wengi sana awwa
  13. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Leo kumekuwa na Nderemo, Vifijo, Hai hai na Sherehe JF. Hongereni Mods. Huyu jamaa asirudishwe tena

    Ukiacha ubabe kwa watu wengine hao mapunga yeye awakatae lakini siyo kuwatukana watu wote ambao wanapingana naye. Mods wanajua kwa nini wanamemfungia na kuna uzi umeandikwa kuusu kufungiwa chzi maarifa . Ao mapunga ni jamii ya watu wazito sana ukiwachukia wanakutaka a na ukibisha unafungiwa. Mi...
  14. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Leo kumekuwa na Nderemo, Vifijo, Hai hai na Sherehe JF. Hongereni Mods. Huyu jamaa asirudishwe tena

    Ngoja aje kubwa la maadui. Mimi ni ustaadhi siwezi kuvaliana na huo ushetani na unitake ladhi kabisa
Back
Top Bottom