Daaah.nyie jamaa ni vilaza.kufunga hakuhitaji utararibu. Kufunga ni suala la mtu binafsi. Huwezi wapangia watu ibada ya kufunga.hamna utaratibu sababu ni suala la imani na kuguswa kwa mtu. Siyo adhabu au fashion
Kwa akili hizi hata usirudi. Ubaki huko huko. Vijana kama wewe ni hasara kwa taifa. Hamna mchango kabisa. We jamaa ni kubwa jinga sana. Sijui ukoje. Huwa huna mawazo jengevu hata kidogo. Watu kama nyie ni hasara kwa Taifa.
Tupate Mawaidha sheikh wangu. Karibu sana kwenye Uislamu Dini inayotufaa watu wa Tabia kama zangu. Dini ya kweli kabisa katika Tabia hizi zetu. Mi nasubiria tu mabikra 72 na kuogelea mito ya pombe.
Anasema mchezaji mmoja wa Mashujaa ambaye ni mmoja ya Walinzi. Masaa kadhaa kabla ya kucheza na Yanga walikuwa wamekutana na uongozi wa wao na wa Yanga.
GSM aliingia ufadhili nao na hivyo baada ya kutiliana saini wakapewa vyakula na vinywaji. Kwa kweli anasifia walikula sana na kufurahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.