Zamani tuliwasikia wazee wetu wakilikataza jambo hili na mambo mengine wenyewe walikuwa wanasema (MWIKO).
Katazo hili la watu kushika mtoto baada ya kutoka kujamiana halikuwa bure lilikuwa na maana kubwa kwenye maisha ya kiroho. Si unakumbuka nilikwambiaga kuwa binadamu ni roho na mwili.
Mambo...
Pumbavu kabisa utakuta ndio hao wanalala 12 chumba kimoja magodoro matatu chakula mpaka apigwe mishe ndio apate hela
Alafu Leo et mpaka uwe na gari..khaa Ina tv ndani???
Aah wapi
Kuna baadhi wamelaaniwa aisee, na wataishia kuishi maisha ya kilaana laana TU kwenye generation yao kiss kung'ang'ania damu za Koo zingine
Sababu zinazotajwa za kijinga, majivuno, tamaa, kujiona na kujigamba Ni baadhi ya mambo ambayo single mother wakijihusisha wataendelea kuwa wengi...
Hicho kiss mbona no Kama. Changu mkuu...Kuna Dem mnyantuzu nilikutana nae enzi hizo daah anajifanya mtulivu lakin kumbe kichwa maji na ktk story alijibu majibu Kama hayo [emoji3516][emoji3516][emoji1787] mpaka nikasema is she the one...or there's some else I must wait for her..[emoji16][emoji16]
NB: #Hela ninazo ila mimi sio boya kuanza kuhonga ovyo ovyo ili demu anikubalie. Najua kuna mijitu hapa itakuja kusema tafuta hela. Hela ninazo ila sio za kugawa gawa ovyo kwa wanawake!!!#
Hatari sana
KISSES NA MAANA ZAKE
Kiss ya kitovu - Niko tayar, nahitaj sasa
Kiss ya paji la uso - Natumai tutakuwa wote daima.
Kiss la sikio - Wewe u kila kitu kwangu.
Kiss la nyuma ya kiganja - Nakupenda na kukuheshmu sana
Kiss la shingo - Nina hamu na wewe
Kiss la lips - Nakupenda
MISHIKO YA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.