Ujasiriamali unafundishwa karibia kila shule/chuo kwa lengo la kuwafanya wahitimu waweze kujitengenezea ajira/kujiajiri kwa namna mbalimbali. Hivyo karibu kila mhitimu wa chuo anaelewa au amesoma ujasiriamali. Lakini kwanini ajira bado ni changamoto kubwa kwa vijana?
Pata majibu kwenye article...
Ujasiriamali unafundishwa karibia kila shule/chuo kwa lengo la kuwafanya wahitimu waweze kujitengenezea ajira/kujiajiri kwa namna mbalimbali. Hivyo karibu kila mhitimu wa chuo anaelewa au amesoma ujasiriamali. Lakini kwanini ajira bado ni changamoto kubwa kwa vijana? Pata majibu kwenye article...
Kuna chapisho linaitwa the Mchumi Diagram, ni somo zuri sana la ujasiliamali. Lipate kwenye tovuti inayoonekana hapo kwenye picha, ukishindwa au kukwama mahali follow me inbox nikuelekeze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.