Mshirikina anaenda kwa mganga na anae kupeleka na huyo mganga pia mshirikina. Wacha kabisa tabia za kuamini na kufuata washirikina fanya ibada muamini Allah Kareem atakuonyesha njiawa njema. Muombe yeye Rahman muongozo mzuri atakuongoza usimtegemee binaadamu mwenzeo
Heshima ni kitu muhimu saaaana huyu Brother Hana adabu na kakipata kapoteza vitu vya maana ktk maisha yake.
Alikuwa gizani katupa Almasi akaokota mawe shauri ya kiburi
Kila kukicha utasikia mikasa ya ubakaji na unyanyasaji. Hivi kwanini ufikie hatua ya kubaka? Una ugonjwa wa akili au unatumia bangi? Wanawake wamejaa na wametuzidi hata kwa idadi kwanini usiombe vizuri ukinyimwa tafuta mwingine.
Wengine wanafikia hatuna ya kubaka watoto wadogo au vizee, hii ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.