Kiranga, naomba unijibu swali hili. Wakati ule Hayati JPM anaingilia kwa nguvu account za watu na kuchukua pesa ama kuzishikilia, unaweza kumpongeza kwa jambo lile? On your own point of view?
Kwema 'Directors'?
Kitendo cha Bwana yule kumzidi kete bosi wake wa wakati huo na kufanikiwa kupenya na kupeperusha bendera, kinaonesha Bwana yule alivyokuwa mjanja(smart)!
Ama kwa hakika, alikuwa jogoo la shamba lililowika mjini. Alikuwa mkulima aliyevimba mbele ya watoto wa mjini na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.