Recent content by MIMI NA TZ

  1. MIMI NA TZ

    Kiwanja Mkolani Mwanza

    Kiwanja ni kikubwa sana na kipo pembeni ya bara bara kuu jirani na MAMIZ HOTEL , hivyo kinafaa kwa biashara na makazi bei ni maelewano msihofu kuhusu bei
  2. MIMI NA TZ

    Kiwanja Mkolani Mwanza

    Kipo mkolani kimepakana na barabara kuu ya Dar Mwanza kina ukubwa wa heka moja na robo , unaweza jenga Hotel,lodge na bei ni nafuu sana milioni mia na hamsini kama utahitaji tuwasiliane kwa 0788752672 ATTACH]232037[/ATTACH]
  3. MIMI NA TZ

    Pata iphone 3 - Mwanza

    Nauza IPHONE 3 kwa bei poa Iko katika hali nzuri sana nicheki nikupatie fasta bei 250,000= Njo PM kama unahitaji
  4. MIMI NA TZ

    Review class kwa CPA mkoa wa Mwanza

    Cheki na PTC iko msikiti wa ibadhi mtaa wa liberty
  5. MIMI NA TZ

    Natafuta starlet ya milango 3 ama glanza kwa 3 million

    Cheki hii nipo mwanza 0788752672
  6. MIMI NA TZ

    Nanunua magari yenye thamani isiyozidi milion saba

    Ninayo mark II namba 'A' nataka milioni 2 nicheki Kwa 0788752672
  7. MIMI NA TZ

    Nyumba inauzwa Kangae Mwanza

    Mnada wa hii Nyumba ni jumamosi hii tarehe 20/12/2014 sa 6 mchana Bei utapanga wewe mwenyewe Tuwasiliane Kwa 0788752672
  8. MIMI NA TZ

    Toyota mark ii milion 2 Mwanza

    Hapana hii Gari ni 4 sio 6 ,yani mafuta hapo inanusa haitumii mafuta kabisa
  9. MIMI NA TZ

    Toyota mark ii milion 2 Mwanza

    Picha hizo hapo juu
  10. MIMI NA TZ

    Toyota mark ii milion 2 Mwanza

    Kazi kwenu bei bado ni milioni 2 tumliokuwa mnataka picha hizo hapo napatikana Kwa 0788752672
  11. MIMI NA TZ

    Toyota mark ii milion 2 Mwanza

    Ni hiyo tu. karibu sana
  12. MIMI NA TZ

    Toyota mark ii milion 2 Mwanza

    Ndio pale pale
  13. MIMI NA TZ

    Toyota mark ii milion 2 Mwanza

    Njo U-TURN kesho uione
  14. MIMI NA TZ

    Toyota mark ii milion 2 Mwanza

    Kama huna utaalamu na magari njo na mtaalamu wa magari akague ukirizika tunafanya Biashara
Back
Top Bottom