asa ukifungua a/c yako tcu pale upande wa kushoto kabla ya apply for transfer c kuna ile view possible transfer programmes c wameweka kla chuo slots na cut off points...
mi nmelipa kupitia mpesa Jana ikawa n fasta tu ila sasa ndo iyo voucher no hawajanitumia til nw nmewauliza wananiambia nisubr mpk wanunue izo vocha max malipo afu mbaya zaidi wengine wanaendelea fanya transfer km wa nacte so cjui km coz ndo izo izo walizotoa tcu na ndo za nacte km ndo ivo bac c...
Wadau nilikua nauliza kua kwa mwaka huu amna transfer ya chuo kmoja kwenda kingine au n vip?
Mana nimesuburi mpaka daaah shida aaan still nthng til nw.
So nilikua nauliza tu kuna mwenye info zozote tusaidiane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.