Erickson0708
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 207
- 34
- Thread starter
- #21
Hilo Ndo La Muhimu Saivi..Kuna Jamaa Yangu Alienda Pale Tcu Na Barua Akakubaliwa. From Udom To Udsm,bt Alikua Na Backup Pale Tcu..
Duhhhh backup kivip mkuu.....????
Hilo Ndo La Muhimu Saivi..Kuna Jamaa Yangu Alienda Pale Tcu Na Barua Akakubaliwa. From Udom To Udsm,bt Alikua Na Backup Pale Tcu..
wadau kuna ata mmoja uku ndani aliefanikiwa kufanya transfer ya tcu cas...mana n kisanga...
Duhhhh backup kivip mkuu.....????
shda ipo nmetuma ela tcu via mpesa nmereceive txt ya mpesa ila ya voucher ya tcu cjaipata bdo...asa cjui n vp???
ndoto za udaktari zileeeeeeeee zina yoyoma
Duh Ndugu Voucher Ndo Ile Code Namba Ya Mpesa Mkuu
nalipia kwa tigo pesa naambiwa "muamala umesitishwa pesa imerudishwa kwenye akaunt yako" je tatzo lipo TCU au TIGO, kama kuna mtu aliyefanikiwa asaidie nataka hamia NIT computer science kwan nilipumba kujaza open university skujua utaratbu wao kwan nipo kijijin,SHUKRAN KWA WANA JF NIMEJIFUNZA VITU VINGI
mkuu utajuaje kabla ya kulipia afu izo cutt off point znakua ni za juu kuliko kiwango kile ambacho walikizingatia wakat wa selection...yan namaanisha kuna mtu pale n i t amechaguliwa ana d mbili je ktk kutransfer unaweza kuhamia pale kwa point km za yule jamaa alochaguliwa ktk selection yan uhamie kwa koz ileile ya jamaa...au kwa kuhamia point zinazidi? Naomben msaada kwa wale walolipia na wameshaziona izo cut of point znavoendaKabla Haujalipia Nakushaur Kwanza Uangalie Kama Course Unayotaka Ipo..La Svyo 30 Yko Italiwa Tyu Mkuu.
mkuu utajuaje kabla ya kulipia afu izo cutt off point znakua ni za juu kuliko kiwango kile ambacho walikizingatia wakat wa selection...yan namaanisha kuna mtu pale n i t amechaguliwa ana d mbili je ktk kutransfer unaweza kuhamia pale kwa point km za yule jamaa alochaguliwa ktk selection yan uhamie kwa koz ileile ya jamaa...au kwa kuhamia point zinazidi? Naomben msaada kwa wale walolipia na wameshaziona izo cut of point znavoenda
Mimi bado profile yangu inaonesha WAITING FOR APPROVAL, sielewi tatizo nini, au ndo dalili za kutemwa?