Recent content by Mimi Magumashi

  1. M

    Naomba kueleweshwa vipengele vya Katiba

    Kule mjini Youtube kuna jamaa wanajiita SHERIA POA wanatoa hiyo Elimu ya Katiba na vifungu vya katiba, mi nimejifunza huko, jitahidi uanzie epsod ya kwanza ndo utaelewa zaidi
  2. M

    Pesa inavyodhalilisha utu wa Dada zetu

    Kama ulivyosema kuwa akijua umemuibia panachimbika, ila ukiiba kwa ufundi na asijue, unatoka salama kama nilivyotoka mimi, ila tangu siku hiyo sikurudi tena hapo
  3. M

    Pesa inavyodhalilisha utu wa Dada zetu

    Pale Uhuru Peak niliwahi kuchukua demu, tukakubaliana 25,000, ikaenda nae ka gest house kako mtaa wa nyuma, baada ya mgegedo akaenda washroom kujiweka sawa, nikachungulia pochi yake aliiweka mezani nikaona kuna noti zimejipanga, nikaiba 20,000/=, alivyotoka nikaongezeapo buko 5 yangu ikawa 25...
  4. M

    Hivi kuna wanawake ambao huwa hawatoi sauti wakiwa faragha?

    Ndugu una muda, hata unaweza kufatilia sauti za migegedo ya chumba cha jirani
Back
Top Bottom