1. Nitazindua Rasmi mfumo wa Bima ya afya kwa wote (wazee, watoto, wamama wajawazito na walemavu), pia serikali itagharamia kwa asilimia 100 matibabu na vipimo vikubwa kwa wananchi wasio na uwezo kwa magonjwa yasiyo ambukizwa ( saratani, figo, moyo, sukari, mifupa na mishipa ya fahamu.
2...
Mtandao Wazua Hofu
Wakati upepo wa siasa za CCM ukielekea uteuzi wa wagombea 2025, jina la Hussein Bashe na harakati zake za kupanga safu yake ya Wabunge linatajwa kila kona. Inadaiwa amepanga safu ya wabunge katika majimbo 210, huku 178 wakibaki orodhani bila Mwenyekiti kujua. Inasemwa...
Katika hali ya kushangaza unajiuliza hivi wale Mawakili wanaojifanya kuwa ndiyo Mawakili bora Tanzania, imekuaje wameamua kukaidi agizo la Mahakama la kuitaka CHADEMA kutofanya shughuli yeyote ya kisiasa na kioparesheni.
Mtakumbuka Juni 10, 2025 CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...
Kuna taarifa kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche atazungumza na waandishi wa habari leo tarehe 17 Juni 2025 saa tano kamili asubuhi, katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam.
Chadema imeamua kufanya mkutano huo kwa siri, usiri huo utawaponza hasa...
Wingu zito la mgogoro ndani ya CHADEMA juu ya wanaounga mkono na wanaopinga Kampeni ya No Reforms na No Election limeendelea kutanda na sasa limefikia hatua mbaya zaidi, wameshindwa kuuficha mgogoro wao na sasa wameamua kuchapana makonde kwenye mikutano ya hadhara.
Chokochoko zilianza kwenye...
Johnson Mgwabati
Mtaalaam mmoja wa sheria Albert Venn Dicey aliwahi kutafsiri dhana ya Utawala wa Sheria (Rule of Law) kuwa ni “kufuata sheria kama zilivyo.”
Lakini bingwa mwingine wa masuala ya uendeshaji wa makosa ya jinai, utetezi na ushahidi, Prof Abdallah Safari, anasema katika andiko...
Msemaji wa serikali Isaac Mwaura amesema Tanzania ilitenda kwa mujibu wa haki yake ya uhuru kwa kuwafukuza watu kadhaa wa kisiasa na wanaharakati wa Kenya, na kuongeza kuwa Kenya haikuwa na jukumu katika uamuzi huo.
Mwaura alikuwa akijibu kufukuzwa kwa kiongozi wa Chama cha Ukombozi wa Watu...
Kikao cha watia nia CHADEMA kimevunjika baada ya mmoja wao kunaswa akirekodi kwa siri.
Vurugu zikaibuka, wajumbe wakarushiana viti na kushambuliana, hali iliyosababisha damu kumwagika.
Taarifa zisizo rasmi zinadai kuwa mtu mmoja amepoteza maisha. Ikungi singida.
TANZANIA imepiga hatua katika viwango vya kimataifa vya Uhuru wa Vyombo vya Habari, kwa kupanda kutoka nafasi ya 97 mwaka 2024 hadi nafasi ya 95 mwaka 2025.
Kwa mujibu wa Ripoti ya Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka (Reporters Without Borders – RSF) iliyotolewa tarehe 2 Mei 2025, licha ya...
Kuna kundi kubwa ndani na Nje ya Chadema lilikuwa limejipanga haswa kutaka kuharibu Uchaguzi Mkuu wa Rais Wabunge na Madiwani Octoba mwaka 2025 likiongozwa na Wanasiasa "VIGOGO" Wastaafu,baadhi ya Viongozi wa Kanisa na Mawakili(TLS).
Kwenye KESI ya Ndugu Tundu Antipas Lissu ya Uchochezi April...
Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuingia madarakani mwaka 2021 na kuombwa sana na Wanachadema na makundi mbalimbali kwenye jamii kuhusu kufutiwa kesi ya Ugaidi iliyokuwa inamkabili Mh Freeman Mbowe na wenzake,kwa hekima kubwa na kulinda 4R's zake alifanya hivyo!
Kupitia kwa Mzee Jakaya Mrisho...
Kanisa LENYE Maadili ni nguzo muhimu katika ujenzi wa Taifa imara lakini Kanisa LENYE NDIMI NYINGI ni hatari sana kwa Usalama wa Nchi!Kanisa linalobeba maslahi ya kisiasa kwa kuhakikisha "linawaprotect"waumini wake hata kama ni Wahalifu ni hatari sana kwa Usalama wa Nchi!
Kanisa la Katoliki...
George Michael Uledi!
No Reforms No Election ya Ndugu Tundu Antipas Lissu imejiziika RASMI leo kwani hata Serikali ya awamu ya Sita ikileta Reforms nzuri kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Rais Wabunge na Madiwani 2025,ni RASMI kuwa Chadema hawawezi kushiriki Uchaguzi Mkuu wowote wa INEC mpaka mwaka...
Kumekuwa na UPOTOSHAJI mkubwa wa sakata la kuzuiwa kwa Makamu Mwenyekiti mpya wa Chadema John Heche Kufanya MKUTANO wa hadhara bila kufuata Utaratibu (kibali), Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya tar 25/3/2025.
Ni kweli kabisa Jeshi la Polisi limemzuia Makamu Mwenyekiti bara Mhe. John Heche...
Dunia imewahi kushuhudia mradi mmoja wa "hovyo" sana uliokuwa unaitwa "YAS Project",ambao ulikuwa na malengo maalum ya kuwasaidia LGBTQ maarufu hapa kwetu kama "mashoga" wasio na makazi!
Kwa mujibu takwimu za Utafiti wa LGBT+ PRIDE 2021 GLOBAL SURVEY, zinaonyesha kuwa, (I)66% ya WaBrazil...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.