Nimeipenda thread hii,kwa sababu nina ndoto kama hii. Itendee haki ndoto yako, nasi tutajifunza mamno mawili matatu toka kwako. Mwenyezi mungu akufanyie wepesi katika safari yako ya mafanikio ya kujiajiri. NB: CHUNGA SANA USIKATISHWE TAMAA.
Ni kweli eneo kubwa linafaa, lakini kwa kuanzia heka 1.5 inatosha kwa chekechea na Tuition. Mambo yakiwa mazuri nitahamia ktk eneo jingine ambalo liko nje kabisa ya kijiji(bado pako pori) ambapo nina heka za kutosha tu.
Kinachotakiwa ni mtu binafsi kuona how much unaingiza kwa siku. No matter umeajiriwa au umejiari, usije kataa kazi kwa mfano ya kulipwa Tsh 50,000/- kwa siku kwa sababu tu unamiliki kibanda cha mama ntilie kinacho kupa Tsh 20, 000/-. Kimsingi uwe unamili kampuni au umeajiriwa zote ni kazi tu...
Eneo lipo Misugusugu-Kibaha kijijini kabisa ambapo pana watu wa kutosha na nilivyo wachunguza wana pata shida ya kuwapeleka mbali watoto wao kupata elimu ya chekechea.
Asante sana MALILA;
Kwa ujumla nilishapata kama heka 6 nje kidogo ya pale niliponunua heka 1. Kwenye heka moja ni kijijini kabisa ambapo watoto watakuja na kurudi nyumbani kwa miguu (kwa kuanzia).Ninachotakiwa sasa ni kujenga darasa moja ambalo litakuwa multi-purpose kwa chekechea, msingi au...
Asante Kdany kwa kuonesha nia ya kutoa maarifa ya ujuzi kwa vijana wenzako ambapo na wewe unajipatia ujira kidogo.
Binafsi nimekuwa nikisaka kila kona mafunzo ya aina yoyote ya ujuzi wa kuzalisha bidhaa aina yoyote ambayo itanisaidia kuongeza kipato changu.
Katika taarifa yako, kitu...
Kinachoshangaza wanatumia nguvu nyingi sana, halafi kama kwa nguvu hivi. Kama hii biashara inalipa kwa haraK mpaka kupelekea mtu kutajirika kwa haraka, nadhani watu wengi sana wangejiunga na kupigiana mapende ili wa win zaidi.
Halafu pia ukiufutilia mlolongo wake ni kama inaweza kufika wakati...
Asante diranqhe. Nitajitahidi, ila umesema shule ina mambo mengi, yapi hayo? Ukitoa gharama za uendeshaji (yaani mishahara ya walimu na walinzi max. 3)
Nawaomba ndugu zangu SAYAYA, NAPENDA na HITLER, kabla ya ku-comment maoni yenu nitangulize shukurani zangu kwenu kwa kunipa moyo/maoni mazuri ya kufanya haya mambo ya ujenzi wa shule yangu. Asanteni sana na mungu awabariki katika kazi zenu mnazofanya.
Kwa ujumla naendelea vizuri na heka heka...
Utafutaji wa maisha mazuri unategemea sana na waliokutangulia yaani wazazi.
Miaka 18 katika familia zingine kijana hata F 4 anakuwa hajamaliza.
Cha msingi hapa kila kijana anatakiwa kuanza maandalizi ya maisha yake anapofikisha miaka 12.
Hapa namaanisha, kijana anatakiwa kuelekezwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.