Mimi pia siwezi kupuuza.
Labda nipate jibu la haya Maswali;
1. Kwa Nini CCM wanapokupa Kadi huwa wanachukua na Namba yako ya NIDA?.
2. Kwa Nini Mamlaka ya NIDA haijawahi kukemea au Kupiga marufuku jambo hili licha kuripotiwa mara kadhaa?.
NRNE
Binafsi Pole Pole nimemuelewa vizuri kabisa.
Kuna siku walikuja watu wa CCM wakitaka kuniandikisha ili wanipe Kadi, Sasa kilicho nishangaza walikuwa wanataka na Namba ya NIDA.
Nilipowauliza Namba ya NIDA na Kadi ya CCM vinahusianaje wakashindwa kunijibu.
Nikawaambia sihitaji na Kadi yao...
Ha ha haaaa...
Huyu Mh. Mavunde ni tapeli kabisa..
Walimu mbona wanazo bima.
Badala ya ku-deal na shida ya Maji pamoja na Migogoro ya Ardhi iliyoshamiri Kila Kona ya Jimbo la Dodoma yeye anakuja na porojo.
Wakuu habari za Leo?
Naomba kwanza kusema ya kuwa Mimi nilikuwa ni Mwajiriwa wa Kanisa la Anglican Tanzania na nilikuwa nikifanyia Diocese ya Central Tanganyika (DCT) pale Dodoma.
Nimefanya nao KAZI kwa muda mrefu takribani Miaka 15+ kwa mkataba mfupi mfupi mpaka pale wao (DCT) walipoamua...
Wapendwa habari?
Naangalia hapa kupitia ZBC Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Daktari Hussein Ali Mwinyi akiwa Kiwanja cha Kufurahisha Watoto Tibirizi Pemba.
Mh. Raisi anapata burudani kutoka vikundi mbalimbali huku pembeni yake akiwa na Mke wake.
Kilichonishangaza ni...
Naomba niwakumbushe tena juu ya hili Jambo.
Naomba niwakumbushe tena TANESCO juu ya hili Jambo màana watu wanateseka sana.
Fanyeni uungwana kwa kuwalipa watu madai Yao ili wakasake maisha Mengine au kama hamna fungu la kulipa Rudisheni Ardhi kwa Wananchi ili ikatumike kwa Uzalishaji.
Hawa...
Habari zenu,
Kuna Jamaa anauza Kiwanja kipo Nzuguni B Opposite na Nyumba 3,500 za TBA.
Kipo Mahali pazuri sana, nimekiona na nilitaka kununua ila tumepishana bei kidogo.
Ukubwa ni SQM 541 Jamaa kakomaa bei 11,000,000/=
Karibu Inbox nikupe namba ya Mhusika.
TANESCO narudia tena, Walipeni hawa Ndugu Stahiki zao au mnataka kufanya Malipo Bwana akisha watwaa kama ilivyotokea pale sub-station kwa Baadhi ya waliokuwa wanadai na kama hamna Fedha ya kulipa waambieni Wananchi ukweli.
Maeneo yametengwa tangu 2018
Uthamini umefanyika 2021
Uhakiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.