Recent content by Miki

  1. Miki

    Kumbe Nesi aliyeokoa Uhai wa Lissu Dodoma Hospital alifukuzwa kazi, Akutana na Tundu Lissu kuomba Msaada wa Kisheria

    Tapeli huyo dada; alihamishiwa Chato kama kituo kipya kwa sababu ya uvivu na utovu wa nidhamu. Akaamua kuacha kazi mwenyewe. Kama kweli alifukuzwa muombeni barua ya kufukuzwa kazi kama anayo.
  2. Miki

    Pata huduma ya kujengewa choo cha kisasa

    Hivyo vyoo havijai haraka kweli?
  3. Miki

    Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

    Huyo ni mgonjwa mtata sana. Hata kesi hatashinda. Tena baada ya hapo ni kumfungulia kesi ya defamation tu.
  4. Miki

    Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

    Hakuna daktari anayeacha mgonjwa kizembe hivyo; kumbukumbu zilizomo kwenye mafaili ya hospitali zitasema ukweli.
  5. Miki

    Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

    Nani anakulazimisha uende kutibiwa pale?
  6. Miki

    Nani amewapa TFS idhini ya Kujenga Makao Makuu yao Mwanza wakati Makao Makuu ya Nchi ni Dodoma?

    Makao makuu ya Tanzania yapo Dodoma lakini haimaanishi lazima kila taasisi iwe Dodoma.
  7. Miki

    Nani amewapa TFS idhini ya Kujenga Makao Makuu yao Mwanza wakati Makao Makuu ya Nchi ni Dodoma?

    TFS ni taasisi iliyo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii. Hakuna kosa lolote kujenga Mwanza. Zipo taasisi zilizojenga Dar mbona?! Relax, pambana na umasikini wa jamii inayokuzunguka.
  8. Miki

    Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

    Hiyo ni kesi au ni hukumu?! Wabongo vichwa vyetu ni hopeless kabisa. Mahakama ndio itaamua kama kweli kuna kosa la kulipiwa fidia. Kwa maoni yangu, mfungua kesi atashindwa vibaya sana. Kwanza sampuli za viungo hazisafirishwi kiholela kwenda nje ya nchi. Lazima upate vibali maalumu vya kufanya...
  9. Miki

    Kwanini hospitali ya Mloganzila gharama zake zipo juu sana?

    Unapenda vizuri bila gharama? Mkeo hawezi kupewa rufaa ya kujifungua kawaida. Rufaa zote za uzazi huwa zina impending complications. Otherwise angejifungua bure kwenye Zahanati yoyote. Watanzania kama tunataka vizuri na vidumu basi tukubali gharama na si bwerere. Wagonjwa wengi hupelekwa...
  10. Miki

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mbona mshahara kiduchu sana bro?!! Ngoja waje NMB wakujibu ili ujikwamue.
  11. Miki

    Gaudensia Kabaka aeleza sababu za kuzuia Ujenzi wa Msikiti UDOM na kuhamisha wafanyakazi wa hapo

    Ni dhahiri shahiri kuhusu ubinafsi walio nao ndugu zetu waislamu dhidi ya wasio waislamu. Hoja ya dini nani aliileta? Kusema waislamu wametolewa ni sawa na kusema waislamu waliwekwa kitu ambacho sio sahihi. Kama waliajiriwa kwa coincidence pia wamehamishwa vivyo hivyo. Pia hoja ya msingi...
  12. Miki

    NISSAN XTRAIL INAUZWA DODOMA

    ipo nyingine yenye namba CDU Dododma kwa 6.5M, cheki kwa number 0717441332
  13. Miki

    Gaudensia Kabaka aeleza sababu za kuzuia Ujenzi wa Msikiti UDOM na kuhamisha wafanyakazi wa hapo

    Kwakweli chuki ya waislamu dhidi ya dini nyingine ni kubwa sana. Mimi nina jamaa zangu kabisa, wengine wanaamua kukuambia wanachoelezwa. Mfano kuwatenga wasio waislamu, kutowapangisha nyumba zao eti ni makafiri! (Mfano hiyo list ya waliohamishwa UDOM inasemekana ilikuwa ndio kamati ya ujenzi...
  14. Miki

    Gaudensia Kabaka aeleza sababu za kuzuia Ujenzi wa Msikiti UDOM na kuhamisha wafanyakazi wa hapo

    Acheni porojo na propaganda za kidini. Nje kidogo ya eneo la UDOM kuna viwanja vingi tu, jengeni. Nunueni kiwanja mjenge. Tatizo liko wapi? Kwani lazima msikiti uwe ndani ya UDOM ndio ulete maana? Mbona wanafunza huenda nje ya UDOM kula bila malalamiko? Kusali tu ndio iwe hoja?
  15. Miki

    Gaudensia Kabaka aeleza sababu za kuzuia Ujenzi wa Msikiti UDOM na kuhamisha wafanyakazi wa hapo

    Hizo nafasi zinatolewa kidini? Kesho utasema Tanzania nzima hakuna Meneja wa Tanesco Mmakonde.
Back
Top Bottom