Recent content by mike55za

  1. M

    UDSM yaongozwa na Mstaafu

    Muda wa kustaafu kwa lazima ni miaka 60, baada ya hapo mtu anaweza kupema mkataba akafanya kazi ya taaluma yake, in this case, ukufunzi, na sio utawala, siku hizi imekuwa kawaida sheria kupindishwa na wakuu kwa manufaa yao na watu wao wa karibu!!
  2. M

    Kituko kingine Wizara ya Afya, Waziri abariki uteuzi wa AMO kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu

    Labda cheo kibadilishwe na kuwa RAMO (Regional Assistant Medical Officer) na si RMO.Na MO akifika mkoa huo atajengewa mazingira mabaya mpaka akimbie.
  3. M

    Picha: Rais kikwete ampa pole katibu wa kufti wa zanzibar aliyemwagiwa tindikali

    Hii mbaya, sitoshangaa nikisikia kapelekwa nje ya nchi kwa matibabu kwa sababu za kisiasa japo anaweza kutibiwa muhimbili
  4. M

    Serikali kupitia JWTZ, Bi.Jenifa, mwenye vipande vya mabomu mwilini anawahusu.

    Sidhani kama kuvitoa hivyo vipande vya mabomu itamfanya huyo dada atembee tena, uti wa mgongo ukikatika kutembea ndiyo basi tena, cha msingi ni kupewa fidia japo haitamrudishia maisha yake ya awali, inasikitisha hapo hakuna cha kufanya, iwe india, ulaya ama marekani zaidi ya kumwezesha kutumia...
Back
Top Bottom