Mimi ni CCM lakini kwa yanayoendelea nchini siko tayari kupiga kura mwaka huu naona wachache ndio wanafaidi keki ya Taifa
Vijana tuko mtaani tumesoma hatuna ajira lakini nafasi wanajiweka wao mpaka wastaafu wanaotakiwa kupumzika na wajukuu
Mimi ni CCM lakini kwa yanayoendelea nchini siko tayari kupiga kura mwaka huu naona wachache ndio wanafaidi keki ya Taifa
Vijana tuko mtaani tumesoma hatuna ajira lakini nafasi wanajiweka wao mpaka wastaafu wanaotakiwa kupumzika na wajukuu
wewe ni punga kweli.hujui kuwa ushoga huleta laana mwenye.Dodoma na Gomora ziliteketezwa kwa moto kwasababu ya ushoga.Mungu hapendi ushoga kabisa kila kiungo aliumba kwa makusudi yake.
mbona Kenya mabasi yanasafiri usiku lakini ajali hakuna ni utaratibu mzuri umewekwa na wamiliki wa mabasi ya usiku NA kunakuwa na madereva wawili.mmoja anaendesha nusu ya safari mwingine anamalizia.je Tanzania tajiri anaweza ajiri madereva wawili usiku ama wanaangalia faida tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.