Barabara ya Igunga to nzega ni bovu balaa kila leo marekebisho mpaka kuna mabonde utazani Barabara ya vumbi, hali ni mbaya zaidi karibu na nyandekwa ambapo magari kila mara yanadondoka, kifupi hizi si Barabara za kujisifia maana nyingi ziko chini ya kiwango!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.