Recent content by MIGNON

  1. M

    GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Kero ya wakulima na wafugaji inafanyiwa mzaha sana at a cost of wakulima.Mgombea ubunge ajiandae kujibu
  2. M

    INEC: Kuhusu upotoshaji wa kuunganishwa kwa mfumo wa uchaguzi na mifumo mingine

    Kwa nini ccm walikuwa wakihakiki wanachama kwa kutumia kadi za nida)kupigia kura Mliliacha hili bila kukemea and now the cat is out of the bag
  3. M

    Wana CCM wenzangu tutulieni kwanza tupewe Mwongozo namna ya kumjibu Polepole. Tunaruka na kukanyagana wenyewe

    Sijui inaitwaje lkn matukio fulani yamewapa mwanya watu.CCM ilihakiki wanachama wake na ktk zoezi hilo wanachama walitakiwa kuja na kadi za kupigia kura.Kosa dogo limezua jambo
  4. M

    Maktaba Imepokea Kitabu Cha Rajabu Ibrahim Kirama

    Umefanya Kazi kubwa Sana.Sllah akujaalie umri mrefu
  5. M

    Hivi Mzee Freeman Mbowe mbona hakemei matukio ya watu kutekwa?

    Tafuta clip akielezea kuhusu kutekwa Soka
  6. M

    Faida ya kiuchumi ya kufungua maabara binafsi ya magonjwa ya binadamu

    Karibu sana lakini pia pole sana.Nakushauri utafakari sana na hasa ikiwa wewe mwenyewe si mtaalamu wa maabara.Shida kubwa ni kumpata mfanyakazi mwamifu,mwadilifu na aliye na vision.Unamuajiri mtu kwa mkataba wa mwaka mmoja lakin haangalii mkataba kila siku anaomba kazi kwingine.Shida kubwa ni...
  7. M

    Mbowe jitoe kwenye kinyang'anyiro

    Hata mimi nilikuwa naamini hivyo lakini nimeyaona kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.Viongozi wameshinda lakini mkutano wa kujitambulisha hakuna watu
  8. M

    Mbowe jitoe kwenye kinyang'anyiro

    Najua ni ngumu.Najua maelezo yatakuwa mengi.Najua ndani ya nafsi unaona kama kuingia kwenye uchaguzi ni kukinusuru Chama.Najua unaumia kwa kuona uliowaamini kukugeuka na kukupiga marungu bila kikomo Unaweza ukashinda kwenye mkutano Mkuu lakini Chadema haitakuwa ile ile nawe hutakuwa Mbowe...
  9. M

    Lissu,kisa moja kubwa

    Mbowe alishaonyesha kila dalili ya kung'atuka.Gia imebadilika baada ya kauli tata za TL. TL katoka Ulaya na wala hakufika ofisi za chams kwanza tuhuma kuwa hakuna maandalizi ya uchaguzi. TL kama makamu Mwenyekiti,mwanasheria na mafia chams katoa tuhuma za rushes ambazo aidha angeacha mfumo wa...
  10. M

    Kupisha machungu ya ndugu kupotezwa au kuuawa kwa sababu za kisiasa kwanini tusikubaliane walioko madarakani wadumu milele?

    Nakubaliana nawe.Tusikaze sana shingo.Ngoja waendelee mpaka wachoke
  11. M

    Nape effect: Kosa la Nape ni kuzungumza ukweli kuhusu chaguzi za Tanzania. Hajawakosea wananchi, amewakosea wenye mamlaka

    Nape alitukanwa, akaandamwa na pengine ikawa sababu ya kupoteza Uwaziri lakini kwa kinachoendelea kwa sasa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa; Nape alikuwa sahihi kabisa. Amekosa Uwaziri lakini kauli yake ya ukweli imemsogeza karibu na Muumba.
  12. M

    LGE2024 Tundu Lissu yuko sahihi, mfano Kilosa Kuna Vijiji 138 CHADEMA ina Wagombea 70, Kuna Vitongoji zaidi ya 800 CHADEMA ina Wagombea 200!

    Utawekaje wagombea mahali ambapo wananchi hawajaukubali upinzani,waoga kupindukia,wanaogopa kuvunjwa miguu.
  13. M

    LGE2024 Mchengerwa: Wagombea ambao hawajaridhishwa na uteuzi, waweke pingamizi

    Jambo lifanyike kwa Maksudi kisha ndio...
Back
Top Bottom