Hahaaa... watu kumbe hawapendi maendeleo ya wengine. Kabla ya Uraisi alikuwa Msukuma baada ya kuanza mbio anakuwa mzinza, msubi etc mwishoe mtasema mchaga. Imba kwanza "Aliselema Alija" ndo ujue hicho kitu ni kutoka SUKUMA LAND PURE. Acheni wivu vijana.
Hata wasipopiga kura watu wa kaskazini ushindi uko palepale. Kwani kaskazini ndio nn? Nchi hii ni yetu sote. Hakuna mwenye hati miliki. Waache ubinafsi mkubwa uliokithiri mithili ya kutaka kila kitu chao. Tumechoka na tabia za hovyo za ubinafsi, ulafi na ubaguzi wao kwa watu wa sehemu zingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.