nchi haina upinzani.hakuna mfumo unaoeleweka hapa.ccm vibaka,chadema,cuf,nccr kwa ujumla ni mbwa waoga,ama mbwa koko!hakuna anayeweza kumzuia kibaka kuiba!wenye mali ambao ni wananchi wamelala fofofo!mbwa koko wanabweka nje,lkn hakuna msaada!kibaka anakwapua kwa uhuru!
watangazaji co watoa burudan kama unavowataja twanga pepeta.hao ni watu wanaotakiwa kutoa hoja,co kuleta sanaa.naona umetaja sanaa za kina Dimond.ni tofaut kabisa ktk hili.hyo ni fani ya watu wasomi!huwez kufananisha Kaole na UDSM!
Hapa mtoa hoja hajakosea sn.katika kutafuta udhaifu wa hoja ya m2,c lazma uwe na point moja.point ya kudhalilisha wanawake ni point nzr tu,whether ina nguvu ndogo au kubwa.ila kikubwa nionavyo,ni mheshimiwa kuongea upuuz m2pu katka kufikisha hoja ya kutorusha matangazo ya bunge.huwez kuongelea...
Hao watangazaj uelewa wao ni mdogo sana.sijajua CV zao,lkn inaonesha pass-mark zao zpo chini sn,ila kwa vle Mungu kawapa uwezo wa kuongea,kwa maana co mabubu,ndo wanajiropokea.
Nlikuwa napenda sn kuickilza radio hyo kila nkienda job,na-tune station hyo.kwa sasa,completely cwez ckiliza tangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.