Kwani wabunge wa Ukawa wana mgomo wa kutoingia vikao vya bunge?nachojua mimi ni kuwa hao ambao hawapo wamesimamishwa na kwa vikao vitano sasa kama leticia hajasimamishwa kwann asihudhurie?
Napita tu
Swali ni je alichokisema kamanda Sabas ni kweli au ameudangaya umma?amesema huyu jamaa alikua anakimbia ,lakini ukiangalia amepigwa risasi na mtu aliyekua mbele yake
Alisema amepigwa kiunoni ni kweli hapo ni kiunoni?
We kweli pimbi na unafikiria kwa kutumia sijui makamasi
Rais ana elimu kuliko prof Muhongo,dr mwakyembe,prof Tibaijuka au kuliko wasomi wote nchi hii?mbona anatuongoza?
Binafsi nauita huo ni wivu na wanaokutuma waambie wafikiri kwanza!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.