Recent content by miel de son

  1. miel de son

    Yanayojiri bungeni Dodoma leo 08 Julai 2015

    Kwani wabunge wa Ukawa wana mgomo wa kutoingia vikao vya bunge?nachojua mimi ni kuwa hao ambao hawapo wamesimamishwa na kwa vikao vitano sasa kama leticia hajasimamishwa kwann asihudhurie? Napita tu
  2. miel de son

    Kikwete: Kuna nyoka mwenye ndimi mbili ndani ya Nyumba ya CCM

    CCM ni majoka wote kuna joka jingine lenye makengeza teh teh teh
  3. miel de son

    Wassira, Umefanya kosa kubwa na Hili utajuta....

    Sasa kama bungeni kuna makelele hivyo analala hivi ikulu palivyotulia si atakufa kbs
  4. miel de son

    Simulizi za polisi kuua gaidi Arusha

    Swali ni je alichokisema kamanda Sabas ni kweli au ameudangaya umma?amesema huyu jamaa alikua anakimbia ,lakini ukiangalia amepigwa risasi na mtu aliyekua mbele yake Alisema amepigwa kiunoni ni kweli hapo ni kiunoni?
  5. miel de son

    Lipumba ,Slaa kutinga Dodoma kesho !

    Lipumba kesho atakua Tunduru
  6. miel de son

    PICHA za Capt. Komba zenye utata zasambazwa kwenye mitandao ya kijamii!

    Hatoki huyu ni kawaida yake watu wa nyasa oneni ushenzi wa kiongozi wenu mchukue hatua za haraka 2015
  7. miel de son

    Ph.D holders kuongozwa na form 6 failure - Shame on you!

    We kweli pimbi na unafikiria kwa kutumia sijui makamasi Rais ana elimu kuliko prof Muhongo,dr mwakyembe,prof Tibaijuka au kuliko wasomi wote nchi hii?mbona anatuongoza? Binafsi nauita huo ni wivu na wanaokutuma waambie wafikiri kwanza!
  8. miel de son

    Yaliyojiri ktk Maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania, uwanja wa Taifa - Dar es Salaam

    Wakuu Leo nafikiri da Joy kaona Mziki wa JWTZ sasa aamue kutuachia sehemu ya ziwa letu au aendeleze chokochoko zake tumtie discipline
  9. miel de son

    Pengo la usimamizi wa serikali la Frederick Sumaye laonekana

    Siasa kazi kweli kweli umekimbilia siasa ukapoteza ajira sasa unapigia watu debe humu JF jioni upate buku saba yako,Pole S J B
Back
Top Bottom