Dhana ya mapinduzi pale Turkey ni conspiracy tu. Erdogan amefanya mapinduzi fake ili apate sababu ya kuwatesa opponents wake.
Hakukuwa na mapinduzi wala nini?
Ni Sawa na sep 11 kule USA ILIKUA NI PRETEXT YA KUIVAMIA MIDDLE EAST.
Ivi Kufanya advance payment ndo amenunua??
Jiulize kwa nini mpaka sasa India amestack haendelei??
Hapo alikua ana test US resolve. Sasa sanctions kwa turkey ni onyo tosha kwa India na wengine wote.
Yaani anashoboka Sana na Iran huyu pimbi. Taarifa nyingine sjui hazioni.
Naona anatamani aifute Iran katika uso wa Dunia Sema hawezi amebaki kupost utopolo huku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.