Recent content by micndekwa

  1. M

    Jeshi la polisi kumkamata Dr. Slaa

    Hawa wamekosa kazi za kufanya, wameshindwa kuwakamata mafisadi wa rada, richimondi, meremeta, tbs, dowansi, epa, nk,......ukiwakuta OSTERBAY DAR ambako majizi/majambazi /matajiri wakubwa wanaoiba mali ya uma kwenye miradi mikubwa ya nchi wanakoishi wanasema wanadumisha ulinzi au wako kwenye...
  2. M

    Jeshi la polisi kumkamata Dr. Slaa

    Dr Slaa amefanya vizuri maana wanatumia mda mlefu mno kuchunguza, na hii ni kwa sababu wakiwapata waliohusika wanatuma mtu kuwaomba rushwa ili wazidi kusogeza mbele uchunguzi , na mkijisahau nao wanasema hakuna ushaidi wa kuwafungulia kesi.....ni bola walivyopewa mda.
Back
Top Bottom