Recent content by mickyMICKIZ

  1. mickyMICKIZ

    Fundi Flat TV na vitu vyote vya umeme

    Songea, sema bei niitume
  2. mickyMICKIZ

    Fundi Flat TV na vitu vyote vya umeme

    Kuna fundi amesema kimeungua.
  3. mickyMICKIZ

    Fundi Flat TV na vitu vyote vya umeme

    Boss 50 nches kiooo kinashida, bei gani kufix?
  4. mickyMICKIZ

    Nahitaji simu kwa Tshs 200,000/=

    Pessa hiyo inahitaji inipe simu..ila iwe bland ya samsung yenye akili kimtindo isiwe inashida mkubwa wa kazi pm.
  5. mickyMICKIZ

    Nauza gari aina ya Vitz

    Bado ipo katika hali nzuri kama inavyoonekana iko na Km 120,000 Kwa maelezo mengine Pm nikujuze.. Gari iko Dar.
  6. mickyMICKIZ

    S3 for sale

    Pm...uchukue 230 chap eid iwe nzuri.
  7. mickyMICKIZ

    Htc one x white inauzwa

    Bwana mdogo Em pm tuangalie uwezekano nitumie iyo HTC.
  8. mickyMICKIZ

    Tecno L6 only for 215,000/=

    Tecno L6 for sale ts only 215,000 tzs. 0654715457
  9. mickyMICKIZ

    Sony xperia P for sale

    Pic ake
  10. mickyMICKIZ

    Sony xperia P for sale

    150 only chap chap.. 0769033641 tuma sms.
  11. mickyMICKIZ

    Laptop inahitajika

    Kwa alie na laptop na Anauza anicheki 0654715457 bajeti 235000k nipo dar.
  12. mickyMICKIZ

    Nyumba inauzwa bei maelewano

    Nyumba yenye vyumba 3, sebule kubwa na sehemu ya kulia chakula. Parking kubwa. pia ina fensi ya ukuta. Nyumba ipo Basihaya, Boko, Dar. Tuwasiliane kupitia 0654715457 kwa picha na maelekezo zaidi.
  13. mickyMICKIZ

    Car4Sale Nissan Murano needed

    Wakuu samahani kuna ambao mlipiga simu sikuweza kupokea.. Tuwasiliane 0769033641
  14. mickyMICKIZ

    Car4Sale Nissan Murano needed

    Habari wakuu, Kwa anaeuza gari aina ni NISSAN MURANO iwe katika hali nzuri. Tuwasiliane 0769033641 nipo Dar
Back
Top Bottom