Kama umeolewa, tulia na mumeo. Na pia, kama umeoa tulia na mkeo. Kuwa mkweli kwa mwenza wako. Kuhangaika hakuna maana kwan waweza kuja leta mtafaruku ktk familia. Mapenzi ya kweli na ya dhati ni mojawapo ya vitu muhimu vitakavyo fikisha mahusiano yenu ya kindoa mbali.. Baraka kwenu ndugu mlio...
Kamwe sijafunzwa kudanganya wala kutapeli. Namshukuru mungu kwa hali niliyokuwa nayo japo ina changamoto kadhaa. Kwa hakika siwezi kabisa kujisingizia shida! Mwenye hii simu sikuwa najua kama naye amejisajili na jamii forums. Tafadhali naombeni mniamini wakubwa zangu. Siwezi kuwa mhuni ikiwa...
Kiukweli mmeshindwa kunielewa kwakweli. Mimi binafsi sina simu ila huwa natumia simu ya mtu ambaye ni jiran yetu. Kiukweli sikuwa nafahamu kama anatumia jamii forums au la. Nilichokifanya mimi ni baada ya kumuomba simu ni kuingia tu internet. Kiukweli sikuwa najuwa kabisa kama yeye amejiunga au...
Shikamooni wakubwa zangu. Vipi hali zenu? Namshukuru mungu kwa kunijaalia uzima na mengineyo ya kheri. Mmenifadhili vyema ila nina ombi lingine ndugu zangu. Naombeni mnisaidie kiasi cha pesa ili niweze kufanyia practical ktk masomo. Kwa atakayejaaliwa naombeni sana kwani itanisaidia kumaliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.