Recent content by michu03

  1. michu03

    JamiiForums Tanzania Ujenzi: Kuzuia maji katika jengo

    Karibu dukani kwetu mwenge tunazo product za waterproof zote ambazo mtaalamu ameelezea piga 0768054537
  2. michu03

    JamiiForums Tanzania UJENZI: Kuzuia maji katika jengo

    Safi
  3. michu03

    JamiiForums Tanzania Msimu wa mvua: Paa yako inavuja? Suluhisho liko hapa!

  4. michu03

    JamiiForums Tanzania EPOXY FLOOR TECHNOLOGY: Kwa Nini Inakuwa Trend Kubwa Kwenye Ujenzi wa Kisasa?

    Mwenge mpakani ofisi ya ras simba zamani 0768054537
  5. michu03

    JamiiForums Tanzania EPOXY FLOOR TECHNOLOGY: Kwa Nini Inakuwa Trend Kubwa Kwenye Ujenzi wa Kisasa?

    Hizo ni baadhi ya epoxy tulizofanya viwandani maeneo tofauti hii ni self levelling epoxy
  6. michu03

    JamiiForums Tanzania EPOXY FLOOR TECHNOLOGY: Kwa Nini Inakuwa Trend Kubwa Kwenye Ujenzi wa Kisasa?

    Tuliyonayo ni self levelling ya basf bei yake 660k tzs inakuwa 4k namaanisha part nne, mbili primer coat na mbili zingine ni top coat primer coat ni ya msingi sana kwa sababu inatumika popote unapoweka epoxy floor iwe decoration au aina nyingine yoyote kwa hiyo unaweza kununua primer coat pekee...
  7. michu03

    JamiiForums Tanzania EPOXY FLOOR TECHNOLOGY: Kwa Nini Inakuwa Trend Kubwa Kwenye Ujenzi wa Kisasa?

    Tuliyonayo ni self levelling ya basf bei yake 660k tzs inakuwa 4k namaanisha part nne, mbili primer coat na mbili zingine ni top coat primer coat ni ya msingi sana kwa sababu inatumika popote unapoweka epoxy floor iwe decoration au aina nyingine yoyote kwa hiyo unaweza kununua primer coat pekee...
  8. michu03

    JamiiForums Tanzania EPOXY FLOOR TECHNOLOGY: Kwa Nini Inakuwa Trend Kubwa Kwenye Ujenzi wa Kisasa?

    Ndio ndio maabara , vyumba vya upasuaji na viwandani aina hii inachukua nafasi kubwa sana Kwa sababu ya trend pia imeaanza kuwa adopted kwenye matumizi ya kawaida
  9. michu03

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa KUEZEKA/KUPAUA/ROOFING hii changamoto inatatuliwa vipi?

    Kuingiza bati na kuchapia na cement sio suluhu ya hilo tatizo kwa sababu bati na ukuta ni aina mbili tofauti za material ambazo huwa zinatembea tofauti (movement) ukuta ni mgumu na unachelewa kupata joto na kupoa lakini bati hupata joto haraka na kusinyaa hivyo inapelekea kutokea nyufa...
  10. michu03

    JamiiForums Tanzania EPOXY FLOOR TECHNOLOGY: Kwa Nini Inakuwa Trend Kubwa Kwenye Ujenzi wa Kisasa?

    😆😆Daah wee jamaa
Back
Top Bottom