aki mods wananitafutia ubaya na wananch wenzangu 😔, wanabadli like kuwa dslike 😭😭😭😭.
sasa hiv nitaanza kuweka 🤣 au 😍, pole mwananchi mwenzangu hata me nmeshtushwa
si kweli, mfano n me mama yangu n mreefu lkn me n kafuuup.
urefu na ufupi s ugonjwa, kama umempenda fanya maamuz. Hakuna aliyejiumba, ushangai bab mweus mama mweus mtoto anazaliwa mweupe. Hutokea tuuu, kuna vtu s vya kuvpa umuhimu kihivyoo.
oa fupii wako, watoto watatoka vle ilipangwa wawee...
tatzo n kwmba kumjua anayekupenda kwa dhat n changamoto, weeng wamesalitiwa kias kwamba wamejawa na vsasi na malipiza na kuhis kila mtu n msaliti.
mnaingia kwny mahusiano kama vtani, kila mtu anajihami 😪. Wanaopata tabu n wasio na hatia wny mioyo safi , nao baada ya kipnd fulani wanaharibika...
na kadr sku znavyozd kwenda hali za ndoa znazd kuwa mbaaya, kias kwamba hawa ambao hawapo(hawajaingia) ktk taasis hiyo wanapatwa na mashaka juu ya maamuz wanayotaka kuyachukua.
jamaa amefanya kosa kuuubwa mnoo kuumuungasha huyo mchumba wake kwny maongez yake na huyo boda, amefanya maamuz bila kutuliza hasra.
haya sasa amezalisha uadui kat ya boda na mchumba wake, hakutatua tatzo bali kaongeza tatzo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.