Mmekosa watu wa kuandamana mnaanza kusingizia wanaCCM wanawaunga mkono acheni uongo, kama wanaCCM wanawaunga mkono fanyeni hayo maandamano tarehe 1 sept mkione cha mtemakuni.Sisi wanaCCM tunamkubali Magufuli kazi nzuri anayofanya na ataendelea kupambana na genge la wahuni
Huyo naibu Katibu mkuu CHADEMA Zanzibar asituletee vurugu huku bara kwake Zanzibar kumemshinda hana hata mbunge mmoja wa CHADEMA halafu anakuja kutuletea vurugu huku bara . Piga virungu weka ndani huyo
Hakuna cha maandamano hapo sisi CCM ndo tulioshinda uchaguzi kwa kupata majimbo 190, UKAWA majimbo 39. Rais wetu usirudi nyuma tunakusupport maana democrasia ya kweli inaruhusu chama kilichoshinda uchaguzi kuongoza na kufanya maamuzi ya shughuli za serikali. Wasituletee fujo hapa hawa watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.