Samahani NIDA mimi nilikojiandikisha kabla sijapata kitambulisho cha NIDA nilihama niko MBEYA wilaya ya CHUNYA na nilijiandikisha Dares salaam wilaya ya KIGAMBONI kipindi ofisi za NIDA zikiwa POSTA.Je nawezaje kupata kitambulisho changu cha NIDA nikiwa huku huku mbeya
Mfano post za Jeshi la polisi,na jeshi la uhamiaaji zilizotangazwa hivi karibu kama tarehe 05/12/2022,zimedai miongoni mwa nakala za kutuma ni pamoja na leaving certificate and academic certificates,
Sasa mimi sina leaving certificates na nimetuma nakala za vyeti,hapa imekaaje?
Kuna baadhi ya kazi zinaomba utume na leaving certificate. Je, mfano sina leaving certificate alafu nina vyeti husika vya kuhitimu level hizo za elimu na nikatuma kwenye maombi nitakuwa sahihi au vipi?
Msaada: Shule za msingi zenye bweni, ada nafuu MbeyaJmni naombeni mnisaidie kujua shule za msingi zinazopatikana
mkoa wa MBEYA zenye BOARDING, na zenye ADA nafuu kama utakuwa wazijua[emoji1545]
Jmni naombeni mnisaidie kujua shule za msingi zinazopatikana mkoa wa MBEYA zenye BOARDING, na zenye ADA nafuu kama utakuwa wazijui[emoji1545][emoji1545]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.