...tanesco na idara ya maji baadhi ya watumishi bado wanajiona ni miungu mtu...wanajibu wateja wapendavyo na kufokewa ata kufukuzwa ndani ya ofisi utazani ni Mali ya familia zao Mara waite walinzi eti njoo utoe uyu mtu ndani ya ofisi yangu!! Nidhamu bado ni mbovu sana mwanzo walipata uoga baada...
...yaani ndg hawa watumishi wana majibu machafu sana nilienda kuwambia mitta yao inazunguka ata nikiwa nimefunga maji tokea mwezi 3 wakanijibu eti kwaiyo wafanyeje juzi 01/8/2019 naenda kwa meneja yaani uyo ndio kimeo kabisa anatufukuza wateja ofisini eti tunampigia kelele ana majukumu mengi...
...hili la bili ya maji jijini mwanza imekua kilio kikubwa kwa wananchi wenye kipato cha chini(wanyonge) imekua kama anasa kutumia maji wakati kila siku wanapanua midomo kusema maji ni uhai...alafu hakuna watu wenye majibu machafu kama watumishi idara ya maji buzuruga akiwemo meneja wao....mteja...
...hivi wewe ni mhusika wa tanesco kweli au unaleta comedy kwenye issue za msingi? Maana haujibu hoja za msingi za wananchi....umeulizwa je umesikia tamko la mh: waziri kwanini mpaka Leo bado mnatwambia tulipie nguzo?...kati ya tanesco na waziri nani yuko sahihi kwenye jambo hili?...wapo...
....Niko tanesco mda huu nimefatilia huduma baada ya tamko LA waziri tusiuziwe nguzo najibiwa kwamba hawana taarifa iyo labda niende wizarani nikaulize vizuri!! hii ndio tatizo la watumishi wa umma wa nchi hii yaani waziri kaongea mchana kweupe akatoa maagizo nchi nzima alafu mtumishi wa wizara...
...ningekua na pesa ya kulipia ningelipa tokea 2016 nilipomaliza kujaza form ninalalamika kwasababu miaka 3 nateseka kisa umeme kwa shirika la umma linalopewa ruzuku kwa pesa zasisi wanyonge bado wangeleta huduma hapo mtaani wengi wangeunganishiwa na serikali ingepata mapato kupitia ununuzi wa...
...ndio hapo sasa si bora ukanunue sola...nitafurahi kama tamko la waziri litafanyiwa kazi na mameneja wa mikoa na wilaya nchi nzima...kwanza watakua wamechochea ukuaji wa uchumi kwa halaka dada zetu na mama zetu watauza juisi au barafu mitaani kwao vijana watafungua saloon na kuuza maji baridi...
.....mtaa nyambiti kata buzuruga.. Wilaya ilemela mkoa mwanza...form iko mikononi mwa tanesco tangu 2016...nguzo mbili naambiwa nilipe laki 7 kasoro elfu 5...je kati ya tanesco na maagizo ya mh: waziri nani yuko sahihi?..maana mnatuchanganya wananchi...naomba jibu
....hapo ndio unajiuliza iyo nguzo wanakuuzia kuwa mali yako au inakua mali ya mtaa mzima kila mtu anaweza kuchukulia umeme hapo...tanesco wamegeuza huduma ya umeme kwa wananchi ni biashara kwao...bora kuruhusu wazalishe kuliko utumwa huu shirika letu linapewa ruzuku kwa kodi zetu bado ukihitaji...
Mh: waziri angeweka vizuri jambo ilo kama ni nchi nzima wote tufaidike na huduma iyo maana nimepeleka form tanesco mwanza yakuomba kuunganishiwa umeme tokea 2016 mpaka leo sijapata huduma..mara wakija kupima waseme nguzo 3 mwaka jana wamekuja kupima tena wanasema nguzo mbili kwaiyo nikalipie...
...pole sana mkuu chakufanya tafuta pesa kwa bidii na uwe na mademu wengi kila mtaa lazima atokee mmoja wao kukwambia anayo mimba yako wee usioji mambo mengi lea mimba badae mtoto...si unajua ata yusuph alipiga kimya baada yakujua mariamu mchumbake yuko mimba..nakushauli ndg bora kuishi kwa...
Upinzani wa kweli ulikua enzi za kamanda wa vita dr.silaa hawa waliobakia yote ni malafi ya ruzuku hawana tofauti na ccm...kila nikikumbuka walivyokua wakizungusha mikono na viuno kisa lowasa wa ccm na kila nikiona wanavyomtetea nape january na mwiguru ambae walimtuhumu kwa tukio la rwakatale...
...we jamaa unalazimisha kuijua siasa lakini haikutaki kabisa bora ukalime viazi unaweza vuna nusu gunia..uwezi mlinganisha Dr.slaa na takataka zote zilizobakia chadema mchawi wa upinzani ni mbowe na genge lake kununuliwa na lowasa nakukifanya chama kuwa Mali ya wahamiaji wenye kashifa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.