Acha kuchanganyikiwa ndugu yangu, tukianza lugha chafu hapa, hapatakalika. Kamati inasema issue ya richmund ilisimamiwa na waziri mkuu hivyo madhaifu yote yaliyojikeza aliyafahamu na kuyafumbia macho hivyo Mhe. Waziri Mkuu apime mwenyewe. Katika kupima ndipo mh. kwa maslahi ya serikali na chama...
Mtu hupimwa kwa matendo yake,wote uliowataja hapo juu wamekuwa mwiba mkali kwa serikali ya ccm kabla na baada ya kuteuliwa katika nafasi zao. Hadi leo ni kati ya watu wanaoogopwa na wameifanya serikali kuwa active kwa kiwango kinachoridhisha. Pia wameendelea kupinga matendo maovu na mipango...
Uhusiano wa Ztto, usalama wa Taifa, Chama cha mapinduzi na viongozi waandamizi serikalini hauwezi kuuponesha Ukawa. Si sahihi Act kujiunga Ukawa vinginevyo tumekubaliana kuipalilia ccm madarakani.
Alishasema mbele ya CC ya ccm na wengi ndani ya CCM wanajua kuwa Lowasa alitaka kuifutilia mbali Richmond mapema ilipokuwa inasimika mitambo yake hapa nchini lakini alizuiliwa na mabosi wake wa kazi. Pia wanaccm wanajua kuwa si Lowasa aliyeleta kampuni hii feki hapa nchini bali walioleta ndio...
We andika kitabu ila ukweli hautabadilishwa kwa maandishi yako, sisi tumefanya utafiti hakuna anayekubalika kama Lowasa hapa Tanzania kwa nafasi ya uraisi na hakuna maandishi wala propaganda zinazoweza kubadili hali hii zaidi ya kumpa fursa ya kuongoza nchi. Hakuna anayeweza kukubalika kwa watu...
Sawa, watu hawawataki hao madiwani ila wanamtaka Zitto basi mwambieni arudi kugombea ubunge hapa Kigoma Kaskazini. Yeye mwenyewe anajua ataokota vumbi ndo mana amekimbia na kama anabisha aje!
Hapana, ameondoka 2015 na kuacha cdm ina diwani mmoja tu wa Mwandiga Mhe:Ally Kissala.Pia katika uchaguzi serikali za mitaa 2014 ACT imepata kijiji kimoja tu cha Kagongo kati ya vijiji 45 vya jimbo la Kigoma Kaskazini lililokua chini ya ZZK. Mimi nipo hapa Kigoma, asiwadanganye mtu, kama Zito...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.