Kwangu mm naweza kukuelewa kwa maono ambayo uliyaona, for what i know kwa experience na shuhuda mbali mbali nilizo pitia na kuzihakiki ni kwamba ulitembelewa na space demons (na uangalie sana kwenye ukoo wenu huenda kuna connection na mambo ya kiganga au uabudu shetani)
So, hawa space demons...
The moment you are functioning abnormal, jua tu kuna kitu hakipo sawa and in addition kazi unazosema hapa kuzifanya nyingi nikinyume na maagizo ya Mungu, so swali langu what's the source of your adventures? Una uhakika kwenu hamna mikoba ya kiganga?
Oooh dear, pamoja na stress zote za maisha haya bado kuna mtu ndani anakuzingu?
Vyuma viko vingi sana, za kununua, kuomba kupewa tu nk. Mwanamke akifikia hatua hii ni shetani achana nae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.