Eti twaambiwa hali ngumu tumeiridhi toka awamu ya kwanza ya uongozi wa nchi yetu, hivyo tusilaumu kwa awamu ya sasa kuwa imeshindwa kutatua kero za wananchi ikiwamo kupanda kwa gharama za maisha....kama vipi wabwage manyanga CHADEMA waonyeshe uwezo...:embarassed2:
Wahubiri hawa wamekuwa kama chuma ulete....kila siku wanawatisha watu kuwa siku za mwisho zimekaribia watu waweke hazina kwa bwana, cha ajabu hazina hizo zinawekwa kwao. Mahubiri yao asilimia 80 ni michango, sadaka na fungu la kumi, asilimia 15 ni kutishana kwamba ukimkosea mungu hakika utakufa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.