Njaa mbaya sana kwa hiyo umehamua kwenda huko bz wamekunyoosha? Ila kweli huwezi pambana na hawa wadudu wakihamua kukubana mbavu huwezi furukuta. Wengi wameenda huko kwa hiyo sababu alienda mwenye nywele za unga sembuse wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.