Akihutubia mkutano wa kampeni, Rais Samia Suluhu Hassan alisisitiza umuhimu wa kuinua kilimo na ufugaji, akisema kuwa Serikali imepanga kupitia Ilani kuongeza maeneo ya ufugaji hadi hekta 6,000,000 pamoja na kuboresha huduma muhimu kama maji, majosho, malisho na ugani, hatua itakayosaidia...