Wiki mbili chache sana kufanya tathmini ya uongozi.
Unahitaji muda kuwaelewa unaowaongoza ili uanze kubadili culture ya hapo kiwandani.
Kama walivyokushauri wengine itisha kikao.
Inaonekan hata hujakaa nao kikao ukawapa nini unatarajia kutoka kwao na namna ya kufikia matarajio.
Pia uelewe...
Ujinga ni mzigo jamani. Eti huyo naye kiongozi.
Mnachukua Kodi mnakula mnasingizia vitu non sense.
Je wapi huko pasipo na majungu penye bara bara nzuri Tanzania hii?
Mbona Kila mahali panafanana?
Tunahitaji mabadiliko makubwa sana kama tunataka kuendelea.
Tukiendelea na Hawa watu tusahau kupiga...
Wasichukue Kodi huko Busega. Hajaanza yeye alianza Magu kwenye kampeni za 2020 kusema mkichagua upinzani sileti maendeleo jimboni kwenu.
Ni kawaida yao.
Kwa Mimi bado naona mkanganyoko.
Huyu mtu asiyeenda school of law atafanyeje ili kutenda sawa na matakwa ya Sheria ili hata ikitokea swala linaenda mahakan awe katika upande salama?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.