Hakuna UK version left hand, hizo itakuwa version za marekani, Canada, au nchi nyingine za Ulaya na Asia. UK wanapenda manual ila ni RHD. Na marekani na Canada na baadhi ya nchi za Ulaya wanaziita Mazda 6
Wanaanza kutoboa ndo wanafanya DPF delete. Hiyo ya kuiprogram ECU sasa ndo watu wanaringa nayo. Ila nadhani wanafanya tu expensive bila sababu. Labda zotashuka watu wakiwa nazo
Mazda 6 nadhani ni kwa soko la marekani na Canada ila kimsingi ni gari hilo hilo. Tofauti ni ndogo ndogo sana kama zipo, labda taa, upholstery n.k ili tu kutofautisha
Uwezo mdogo kuanzia kuyanunua mpaka kuyatunza. Bahati nzuri ni kwamba gari yenye miaka 5-10 na imetumika japan au Ulaya ikitunzwa, hiyo bado inakuwa nzima sana.
Kwa kweli sina hakika ila naelewa ina ulaji mzuri wa mafuta kwa engine ya 2.0l petrol ambayo kuipata from japan ni kipengele. Average ltr 1 inaweza kwenda km 12 - 13
Njia hii unayoitaja si dpf delete, hii ni regeneration.
Kama ni humu humu mjini most likely hutaweza kuwa unapata nafasi barabarani ya kukuwezesha kufika speeds na revs za kuchoma kiwango cha kutosha, hasa kwa kiwa mafuta yetu quality ni ndogo. Watu wanaosafiri sana labda.
Hakuna ambayo ni best kwa mambo yote, na hakuna gari ambayo ni best kwenye mambo yote ukicompare na nyingine. Inategemea vipaumbele vyako.
Kwa consumption, mazda cx5
Efficiency ya engine na gearbox (power na consumption combined) ni cx5
Spare, subaru labda ziko nyingi zaidi
Engine reliability...
Kazi yake ni kuchuja moshi unaopita kwenye exhausoili usiharibu mazingira (kwa ulaya hii ni lazima) na gari ikitolewa hiyo unapigwa hata faini.
Changamoto sasa:
Huku kwetu mafuta yanayokuja yanakuwa na sulfur nyingi so zile taka zinajaza DPF kwa haraka hasa kama gari haisafiri umbali mrefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.