Recent content by mi_mdau

  1. mi_mdau

    Naomba nondo kuhusu gari aina ya Subaru Forester XT

    Liquimoly inatosha sana. Inaaminika kuwa na viwango zaidi haya ya total. Ila muhimu zote upate full synthetic na original. Na ubadili oil kila baada ya 5000KMs
  2. mi_mdau

    Ipi rahisi, nafuu na salama zaidi kati ya kununua gari showrooms na kuagiza kutoka ng'ambo?

    Kuna faida na hasara za kila njia. Faida za kununua showroom 1. Ni haraka na unapata gari yako kwa haraka zaidi bila kuwa na wasiwasi mkubwa 2. Unaiona na kukagua muonekano wa gari kwa uhakika zaidi Hasara zake au mabaya yake 1. Kwa Tz, uaminifu wa dealers wengi unatia mashaka hasa kwenye...
  3. mi_mdau

    Nissan dualis na Qashqai

    Tafuta fundi mzuri mbadili hiyo Oil kabla hujaua kabisa hiyo gearbox
  4. mi_mdau

    Nataka kujifunza Kisambaa

  5. mi_mdau

    Ushauri wa bure: Madereva wa private cars tembeeni usiku kama unafanya Safari ndefu

    Kwa uzoefu wangu wa kurndesha gari usiku na mchana, mjini na safarini, nitofautiane na mtoa mada. Kama ni safari, usiku kuna risks nyingi sana, la kwanza na kubwa ni uoni hafifu. Ajali nyingi husababishwa na hili. Hasa kwa madereva wasio na uzoefu, epuka kuendesha usiku.
  6. mi_mdau

    Je, hii gari unaizungumziaje ukilinganisha na Vanguard ama Harrier?

    Naelewa unachosema ila kwa Surf nadhani hii ndo newest model. Sidhani kama waliendelea kutoa Surf baada ya hii Soko la marekani bado wanaendelea na 4runner
  7. mi_mdau

    Ipi nzuri kati ya Crown Athletes grs200 na Mercedes Benz C200 Compressor

    Sidhani kama kuna utofauti mkubwa kwenye fuel consumption
  8. mi_mdau

    Msaada: Suzuki Grand Vitara (spea, mafuta?)

    Mi sipendi speed ila wewe utakuwa umenizidi kama hujawahi kuendesha au kuendeshwa kwa speed ya 120kph. Barabara za mikoani karibu zote unaweza kutembea na hii speed kwa vipande virefu tu. Na siwezi kuiita ni speed ya hatari sana hasa sehemu amabazo hakuna watu.
  9. mi_mdau

    Msaada: Suzuki Grand Vitara (spea, mafuta?)

    Mi yangu nilisafiri nayo sana, ilikuwa inatulia barabarani ila kwa kuwa ni J20 ilikuwa haina mwendo
  10. mi_mdau

    Hii ndio expereince yangu kwa mwaka mmoja na Mazda CX-5

    Liquimoly mikocheni, kama unaenda kawe, upande wa kulia baada ya kituo cha mwalimu, kama unapenda Liquimoly
  11. mi_mdau

    SUBARU FORESTER 2014 vs MAZDA CX 5 2014 niende na ipi?

    Hiyo si gari ya maskini, labda kama unaongelea fuel consumption peke yake. Lazima ugharamie service yake kila km 5000, uweke oil sahihi na service nyingine muhimu zinazotaka modern diesels. Za petrol ni afadhali lakini zina mapungufu yake madogo madogo
  12. mi_mdau

    Toyota Mark X 2007 na Crown 👑 Athlete 2007 ipi yenye better fuel efficiency

    Siyo lazima zifanane consumption kwa sababu tu zinatumia engine 1. Kuna mambo mengine kama weight ya gari, gearbox na walivyoitune, umbo la gari etc. Wataalam wanajua zaidi
  13. mi_mdau

    Toyota Brevis na matunzo yake karibuni wajuvi kutoa ushauri

    Kitu oekee ambacho nqweza kumshauri mtu asichukue brevis ni kama ana safari nyingi fupi fupi za mjini na bajeti yake ya mafuta si kubwa. Otherwise ikipata service nzuri na clean fuel ni gari tamu. Nimesikia sana watu wakisema ni mbovu, sikuona hilo kwa miaka kadhaa niliyoendesha
Back
Top Bottom