Recent content by mi_mdau

  1. mi_mdau

    Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Mazda Atenza 2015

    Hakuna UK version left hand, hizo itakuwa version za marekani, Canada, au nchi nyingine za Ulaya na Asia. UK wanapenda manual ila ni RHD. Na marekani na Canada na baadhi ya nchi za Ulaya wanaziita Mazda 6
  2. mi_mdau

    Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Mazda Atenza 2015

    Wanaanza kutoboa ndo wanafanya DPF delete. Hiyo ya kuiprogram ECU sasa ndo watu wanaringa nayo. Ila nadhani wanafanya tu expensive bila sababu. Labda zotashuka watu wakiwa nazo
  3. mi_mdau

    Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Mazda Atenza 2015

    Hii gari inataka clean Diesel popote utakapoweza kuipata
  4. mi_mdau

    Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Mazda Atenza 2015

    Kuwa makini sana na gari za Singapore
  5. mi_mdau

    Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Mazda Atenza 2015

    Mazda 6 nadhani ni kwa soko la marekani na Canada ila kimsingi ni gari hilo hilo. Tofauti ni ndogo ndogo sana kama zipo, labda taa, upholstery n.k ili tu kutofautisha
  6. mi_mdau

    Kwanini Tanzania latest Car ni chache sana kuonekana. Bado wanaagiza Magari ya 2000-2010

    Uwezo mdogo kuanzia kuyanunua mpaka kuyatunza. Bahati nzuri ni kwamba gari yenye miaka 5-10 na imetumika japan au Ulaya ikitunzwa, hiyo bado inakuwa nzima sana.
  7. mi_mdau

    Honda Accord: Shujaa aliesahaurika

    Hakuna muuza spare ataleta spares ambazo zitakaa tu dukani. Gari zikinunuliwa nyingi spare zake zitakuwepo tu
  8. mi_mdau

    Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Mazda Atenza 2015

    Petrol is better kwa mazingira ya bongo, IMO, kama unaweza kuipata. Ila hutaweza kupata fuel consumption kama ya kwenye Diesel.
  9. mi_mdau

    Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Mazda Atenza 2015

    Kwa kweli sina hakika ila naelewa ina ulaji mzuri wa mafuta kwa engine ya 2.0l petrol ambayo kuipata from japan ni kipengele. Average ltr 1 inaweza kwenda km 12 - 13
  10. mi_mdau

    Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Mazda Atenza 2015

    Njia hii unayoitaja si dpf delete, hii ni regeneration. Kama ni humu humu mjini most likely hutaweza kuwa unapata nafasi barabarani ya kukuwezesha kufika speeds na revs za kuchoma kiwango cha kutosha, hasa kwa kiwa mafuta yetu quality ni ndogo. Watu wanaosafiri sana labda.
  11. mi_mdau

    HATIMAYE: Mazda CX-5 imeingia Top 5 ya gari zinazoingizwa Tanzania kutoka Japan

    Hakuna ambayo ni best kwa mambo yote, na hakuna gari ambayo ni best kwenye mambo yote ukicompare na nyingine. Inategemea vipaumbele vyako. Kwa consumption, mazda cx5 Efficiency ya engine na gearbox (power na consumption combined) ni cx5 Spare, subaru labda ziko nyingi zaidi Engine reliability...
  12. mi_mdau

    HATIMAYE: Mazda CX-5 imeingia Top 5 ya gari zinazoingizwa Tanzania kutoka Japan

    Mazda CX 5 sio kigari, ni gari yenye size kubwa kuliko Dualis, urefu kama wa Rav4
  13. mi_mdau

    Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Mazda Atenza 2015

    Kazi yake ni kuchuja moshi unaopita kwenye exhausoili usiharibu mazingira (kwa ulaya hii ni lazima) na gari ikitolewa hiyo unapigwa hata faini. Changamoto sasa: Huku kwetu mafuta yanayokuja yanakuwa na sulfur nyingi so zile taka zinajaza DPF kwa haraka hasa kama gari haisafiri umbali mrefu...
Back
Top Bottom