Recent content by mhuogomkavu

  1. M

    Zitto Kabwe: Mwanasiasa atayenufaika na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK)

    Roho ya usaliti inamtafuna, once msaliti always msaliti.
  2. M

    Madudu yanayofanywa na uongozi wa riadha Tanzania

    Juzi juzi hapa nilisoma ujumbe wa waandishi wa habari za michezo kuhusu Shirikisho la Riadha Tanzania na Madudu yake na nikaamua kuu share humu. Nilikumbuka mbali sana hasa katika Ile habari ya upigaji na alichotaka kufanya kupitia Press Conference aliyotaka kufanya kiongozi wangu wa zamani...
  3. M

    TAFAKURI: Kwanini Viongozi wa CHADEMA wanakwenda Marekani na Ubelgiji?

    Siku zote ukiwa unatumiwa na wakubwa zako hasa ukipewa na fedha lazima uwe unatoa ripoti na kazi ulio tumwa kuifanya, sasa hawa ndugu zetu wanatumiwa na wazungu wa mataifa hayo na wanakula fedha zao, lazima wakanyenyekee kwa kueleza umezifanyia nn na utoe matokeo ya ulichoagizwa kufanya
  4. M

    Halima Mdee na wenzake 18 wamekuwa mbuzi wa kafara

    Usiku wa tarehe 27/11/2020 nilimsikiliza Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akitoa taarifa ya kikao cha Kamati Kuu kuhusu wabunge wa vti maalumu wa chama chake alioishia kuwavua vyeo vyao pamoja na kuwafuta uanachama wa chama hicho. Mbowe amekuwa kiongozi wa CHADEMA anayejua kucheza na...
  5. M

    Uongozi wa juu wa CHADEMA unahusika moja kwa moja na uteuzi wa wabunge wa Viti Maalum walioapa tarehe 24/11/2020

    Wanatuletea mambo yao ya kijinga, wakati wamehusika moja kwa moja.
  6. M

    Madudu yanayofanywa na uongozi wa riadha Tanzania

    Kwanza niwape pole kwa mnayoyapitia tangu mwaka 2016 baada ya kuingia uongozi mpya kwenye Shirikisho la Riadha. Ninafahamu walio wengi hawatafahamu nini kinachoendelea ndani ya Riadha Tanzania kwani wengi wamejikita kwenye michezo mingine. Ni hivi, tangu aingie madarakani Rais wa Riadha...
  7. M

    Washauri wa Rais Magufuli, mshaurini aache kutumia Kiingereza kwenye hadhara

    Akitumia kisukuma mnalalamika, akiongea kiswahili mnanuna, akiongea kingereza mnalalama, Ebu mshaurini mgombea wenu awe anachana nywele.
  8. M

    Malipo ya madeni kwa wanafunzi na nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi kipindi hiki ni rushwa ya CCM kwenu, msidanganyike

    Wewe umekaa asubuhi yote hii kumbe hata akili huna, yaani mm kuongezea pesa ni rusha? ufanyaji kazi wangu na mambo yenu ya kisiasa yananihusu nini mm, acha mawazo mgando yasiyo na tija
  9. M

    GE2020 TBC, sasa tumewachoka kwelikweli, mnachochea hasira kubwa msiyoweza kuizima

    Kiongozi wenu si aliwafukuza TBC? Leo hii mnataka ifanye coverage ya matukio yenu kwanini hasa? Na tangu lini kifo cha CCM kinakuuma wewe? Kama TBC kuitangaza CC ndio kifo cha CCM wewe inakuumia hapo nini, Tulieni dawa iwaingie
  10. M

    Masuala haya ambayo MBOWE atayazungumzia kwenye mkutano na waandishi wa habari ni hadaa kwa umma.

    Huyu mzee anatafuta kiki balaa, ameona zitto anapata wafadhiki na yeye anaamua kuokoteza propaganda ili na yeye walau asikike 😂😂 Siasa ngumu sana
  11. M

    Wazee wa Kigoma wasimama na Zitto na kutoa tamko dhidi ta Spika na Bunge

    Nimeusoma waraka ulioandikwa na wanaojiita wazee wa Kigoma nikastaajabu sana. Waraka huo batili una kichwa kisemacho _"WAZEE WA KIGOMA TUNAMUONYA SPIKA NDUGAI KWA MARA YA MWISHO"_. Kwakweli waraka huo hauendani na maadili waliyonayo wazee wa Kigoma ndio maana sitaki kuamini kuwa umeandikwa na...
  12. M

    Ujumbe maalum wa tahadhari kwa Maaskofu na waumini wa KKKT

    Kama huamini, John Mnyika yupo Mwanza anaendelea na KKKT huko. Anaharibu kanisa.
  13. M

    Ujumbe maalum wa tahadhari kwa Maaskofu na waumini wa KKKT

    KWA MUDA MREFU NIMEKUWA KATIKA SHUHUDA KWA WATU, NDANI NA NJE YA NCHI KUHUSU MWENENDO WA KANISA LETU, VIONGOZI WETU KATIKA KANISA NA HATA KUHUBIRI MAMBO AMBAYO KWAYO, KKKT LIMELELEWA MIAKA MINGI ILIYOPITA. SISHANGAI MABADILIKO NDANI YA KANISA, ILA MABADILIKO YANAPOKIUKA MISINGI YA DINI, IMANI...
Back
Top Bottom