Recent content by Mhinajr

  1. Mhinajr

    Maswali ya Written Interview Tutorial Assitant?

    Interview itategemea na chuo wanataka walimu wao wawe na skills gani za muhimu... Ila mimi niliitwaga kwenye interview sehemu fulani,waliniambia niandae power point presentation isiyozidi slide 10,na nilitakiwa niiwakilishe ndani ya dk 25 tu. Pia upitie teaching methodology zitakusaidia makuu.
  2. Mhinajr

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Inategemea na level ya elimu yake,kama 93 kwa diploma au certificate na degree ni tofauti. Maana kuna watu wa masters wengine...walichokua wanaangalia ni level ya elimu na umri. Nazani wengi walio tolewa ni certificates na diploma.
  3. Mhinajr

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Watu makutupora waliondoka na machovi na degree zao
  4. Mhinajr

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Ukiitwa kwenye usaili hakikisha unawaulizia watu walio pita kwenye kile kibao cha kupimia macho wakutajie herufi maana hawabadirishi....laah sihivyo,kitu kidogo kinaweza kukuferisha maisha,wee kaa mwishoni mwishoni ili ukifika ukitaja ata viherufi vi 3 wakuachie
  5. Mhinajr

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Hahaha....apo ni parefu mzee kama unamacho mabovu
  6. Mhinajr

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Wameanzia watu wa 1993...na kuendelea
  7. Mhinajr

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Eeh....wameanzia wa 1993,ingawa wameambiwa waache majina
  8. Mhinajr

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Eeh....wameanzia wa 1993,ingawa wameambiwa waache majina..kukitokea chochote wataitwa.
  9. Mhinajr

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Ngoja tusuburi kesho,wazalendo watatupa mrejesho,ila kwa usaili wa special course makao walikua wanapiga simu,na wanaamini simu kushinda pdf walizokua nazo,maana ukitokea mkanganyiko baadhi ya wadau walipigiwa simu ila kwenye mkeka wao majina hayakuepo,walichokifanya ulikua unaonyesha namba...
  10. Mhinajr

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Hapana,makao makuu hayapo uko,ila nilikua naelezea kwa uzoefu wangu,mfano wa usaili unaoendelea makutupola,hawakutoa PDF...walikua wanapiga simu tu
  11. Mhinajr

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Kwa uzoefu wangu nilio uwona, majina yakishafika ngazi ya mkoa, wazalendo waliokizi vigezo vyao upigiwa simu kuripoti kwenye vituo husika. Baada ya kufika kambini kuna mkeka mwengine ambao utatumika kuhakiki walengwa wao waliofika. Ila lolote linaweza kutoka,ila utaratibu sikuizi wamebadirisa...
  12. Mhinajr

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Pia naomba kuulizia....kama ni miongoni mwa watu wenye sifa walizozitaja mfano ni daktari au muhandisi,ila haujapitia jkt.... unaweza ukajipeleka? Kwenu wakuu nawasilisha 🙏🙏...
  13. Mhinajr

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Kama...nimemuelewa vizuri alieuliza swali,ni kuwa..je ukiachilia mbali hizi zilizotoka wiki 2 zilizopita, je kuna nafasi nyengine za jkt kwa wote zitatoka?
  14. Mhinajr

    Nafasi za masomo nchini China kwa wanafunzi wa kidato cha nne

    Masters ya aeromedicine... online wanatoa
Back
Top Bottom