Mtaalam umetoa hoja umekaa kimya,njoo utoe taarifa za kutosha kuhusiana na changamoto zako...jina la kampuni .......je ni wewe pekeako aku kunawengine wamekumbwa na changamoto kama yako...
Interview itategemea na chuo wanataka walimu wao wawe na skills gani za muhimu...
Ila mimi niliitwaga kwenye interview sehemu fulani,waliniambia niandae power point presentation isiyozidi slide 10,na nilitakiwa niiwakilishe ndani ya dk 25 tu.
Pia upitie teaching methodology zitakusaidia makuu.
Inategemea na level ya elimu yake,kama 93 kwa diploma au certificate na degree ni tofauti.
Maana kuna watu wa masters wengine...walichokua wanaangalia ni level ya elimu na umri.
Nazani wengi walio tolewa ni certificates na diploma.
Ukiitwa kwenye usaili hakikisha unawaulizia watu walio pita kwenye kile kibao cha kupimia macho wakutajie herufi maana hawabadirishi....laah sihivyo,kitu kidogo kinaweza kukuferisha maisha,wee kaa mwishoni mwishoni ili ukifika ukitaja ata viherufi vi 3 wakuachie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.