kiki za kisiasa mbaya na njaa mbaya acha watu wacheze na biti alikosa ubunge hasira zake akahamia chadema amekutana na chama chenye msimamo karudi ccm yake.
Naona barua ya bunge ikisema ccm ilishamwandikia mheshimiwa Nyarandu tarehe 30 mwezi huu barua ya onyo na kuanzia tarehe hiyo alipoteza sifa ya kuwa mbunge hapa magreat thinker watajiuliza na jibu ni kuwa nyarandu aliwawahi na ili kuficha aibu hii wameona waje na zilipendwa hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.